Kwenye usahili wa mchujo umoja una kuwaga mwingi sana ila kwenye kuitwa kazini hapo ndio kila mtu kimpango wake..[emoji3] mambo mbele kwa mbele..[emoji847]
Inaonekan mkuu mifuko yako ya suruali haina kitu, maana kula ni jambo la kawaida sana kwenye maisha yetu ya kila siku na mungu aliweka baraka zake kwenye chakula sasa unapo kaa na kuhoji swala hilo dogo tu una mkosea hata mungu wenyewe alie toa riziki unazo pata.
Sasa kila mtu akisha kuwa na hiyo connection, hiyo nchi si itakuwa ina kwenda kimichongo michongo tu mkuu kila sector hapa mm nadhani Lengo la mleta mada hii ni kuieleza jamii kupitia serikali wasikie malalamiko haya then waya tatue na kuyafanyia kazi ila kuendelea kutafuta connection sio...
Mkuu sisi watu wa pembeni ambao hatuku fanya huo usahili huo tuna shukuru kwanza kwa kutuletea taarifa ya kile ulicho kiona kwenye usahili huo, sababu hao upande wa pili walio chaguliwa kuendelea na usahili hawawezi ongea chochote hapa kuhusu kilicho tokea sababu tayar wao wamesha nufaika...
Mkuu hapo kwenye utambuzi wa herufi nadhani hujafatilia vizuri, ila hata huko kenya wao wana tumia neno KRA, Uganda ni URA kama mamlaka zao za kodi hivyo hiyo ni sambamba na utifaq ya utaifa wetu kwenye utambuzi wa kimataifa kwamba na vyombo halali na vyenye mamlaka ya kukusanya kodi za mataifa...
Kama ni ndio mambo yapo namna hiyo basi si itakuwa changamoto kubwa kwa wale ambao hawa husiki na usaili wa TRA kusubiria muda mrefu kwa jambo lisilo wahusu, au ilikuwa na ulazima gani wao kuajiri wenyewe kama utaratibu ni mpaka wao wamalize shuhuli zao then ndipo taasisi nyingine ziendelee na...
Ni kweli mkuu ingawa wenyewe wana tumia kigezo cha sheria ya fedha kuhusu Kodi, lakini ukweli ni kwamba hawa ni watu wa mabenk huko na wame specialize kwenye sector za kibenk sana, na hii kitu inakuwa ngumu sana kukubali wao hata kama policy's zina badilika kwa waajiri wao wanaona kwa kuwa...
Hilo sidhani kama wata fanya tena kwasasa mkuu, maana nukuu za mara ya mwisho kwa hawa viongozi wetu tulisikia kwamba wakisema haya mashirika na taasisi nyingi zijitegee zenyewe kwenye kujisimamia na kuajiri pia.
Mkuu upo sahihi kwa ufafanuzi wako lakini hapo kwenye ishu ya finance ina wezekana ikawa wame amua kufanya mabadiliko ya kisera kwenye sector yao kwa wakati huu ingawa mwanzoni watu waliweza kupata nafasi kwenye ajira zao hivyo nadhani usiweke sana mtazamo hasi kwakuwa hivi vitu kila siku vina...
Mm sidhani kama ni bahati isipokuwa ni kukosa weledi mzuri tu kwenye taasisi Yao ila vitu vipo wazi tu kama utumishi tuliweza kuitwa kwani tusiitwe na kwao mkuu..?
Ni kweli ila wangesema basi mtu hukuitwa interview kwasababu hii na hii, lakin kukaa kimya na watu hatuelewi tulipo kosea kwenye kwenye maombi ya kazi zao ni kutunyima haki za msingi ili hali tunaona watu wameitwa kama tulivyo omba sisi.
Watu hawakatai wengine kuitwa mkuu, isipokuwa wale wanao achwa waambiwe sababu za kuachwa kwao kwenye short list ili mtu ajue haki yake kwamba hakustahili kwa namna gani kuliko mtu huelewi kosa lako then unabaki tu kuona wenzako wameitwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.