Kaka inafika mahali kwenye hilo swali point haziji kila ukitafakari mtu unaona bora ukubali yaishe hapo ujaribu swali jingine, mm nashukuru baada ya kuchemka swali moja basi yalio fata niliweza kujibu yote kwahio nilikosa swali moja ambalo kila nikiwaza wapi mkuu..😀
Mkuu maswali ni knowledge uwe nayo tu kwa kada yako na huwa yana badilika kila kada ishu ya msingi sio kujua maswali isipokuwa mtu anatakiwa awe na upeo wa juu kukumbuka point wanazo taka kwa kila swali, hapo lazima iwe imara kwenye kodi na forodha ndio itakuwa simple.
Hivi baada ya kupita written vizur zile maks ndio zina ishia pale pale written kwamba ukienda oral kule wanaanza upya usahili au zinakuwa combined mark's za oral na written ili kupata kazi mkuu..?
Hivi oral imekaaje mkuu baada ya kufaulu written kule kila mtu anaanza upya kwamba matokeo ya ufaulu wa written haya zingatiwi tena kwenye kupata kazi au ni oral kama oral ndio itaamua hatima ya mtu baada ya usahili..?
Ni kweli hata mm naweza kupata nusu ya swali kwa maana pale kuna njia ya kufata kila hatua na wengine wakapata lote ni sawa sio mbaya lakini haki tumenyimwa kwa kufelishwa makusudi.
Kama ni mbinu ya kuwa felisha watu wasitumie calculator hapo walifanikiwa pakubwa sana sababu ukweli ni kwamba wengi tunajua hizo calculation isipokuwa tu kuzuia matumizi ya culculator hakuleti maana yoyote zaid ya kuwanyima watu haki zao za kufanya usahili kwa haki, yani mtu ukazidishe namba...
Pepa za utumishi ww kuwa tayar kwa lolote mkuu utakacho kutana nacho huko jamaa ni kawaida yao sana kwa mambo hayo ukiwa mzoefu wala huumizi kichwa sana mifumo ni ile ile kama vile kwenye soka uwanjani.😀 Ukitumia 'basic knowledge' yako kwenye pepa kama hizo ume maliza mchezo..🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.