Ni wa solar kawaida.. sema ni bei rahisi sana kufungiwa...
Nadhani wao faida wanaipata pale unaponunua kama luku ili uweze kuutumia...
Last year ilikuwa ni elfu 10 tu kufungiwa huu umeme... kwa Arusha... so basically ni LUKU....
Hawa jamaa umeme wao ni kama luku... yaani unafungiwa paneli na taa kadhaa kulingana na ukubwa wa mahitaji... matumizi yake ni pale unapolipia kwa mpesa au tugo pesa ndo unapewa units kama luku vile... waweza nunua kuanzia wa tsh 500 na kuendelea..
MMie nijuavyo uzalishaji lazima kwanza kuwepo na uhakika wa soko, wakulima wa Tanga wanazalisha aina ya machungwa yenye soko kwa wakati huu.. Na siku zote kilimo chenye tija si kuzalisha tu bali kwanza kujua mahitaji ya soko na ni nani atanunua mazao yako.. sasa ndugu ukisema wakulima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.