Recent content by Perez Justine

  1. P

    Civil Engineering UDSM

    Ukiwahi asubuhi sana hakuna jam,,,au ukisubiri subiri kwanza siku zikatike,,wale wanaopenda shule kwanza waende afu na ww ndo uende,,hakunaga jam baada ya muda huo na kuhusu admission bora uende sasa hivi kipindi majina yametoka officially...ukienda kwa tarehe iliyopangwa na chuo ya orientation...
  2. P

    Civil Engineering UDSM

    afu usiwe na haraka sana au presha,,,stay low and cool....just wait,,vitu vyote ivyo utavifanya tu,,we subiri uchukue admission letter yako na joining instructions...kila kitu unachouliza huku kuhusu bank accounts n etc vipo mle
  3. P

    Civil Engineering UDSM

    Nenda kafanyie kwenye hospitali ya chuo..ukifanyia kitaa watakuzinguaa..utaratibu ushsachange
  4. P

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    nataka nifanye editing katika profile yangu kwenye CAS......kila nikiingia naambiwa error....yaani tokea juzi.......afu deadline ya kufanya editing ni liniii???
  5. P

    Majina ya waliokosea fomu za bodi ya mikopo HESLB

    hizo links braza hazifunguki mbona....zinasema kuna error.....vp tena
  6. P

    Majina ya waliokosea fomu za bodi ya mikopo HESLB

    Kwani majINA ya successful applicants wa first round ni liniii??
Back
Top Bottom