imani ingekuwa ni ya mzungu isingekuwa hai hadi kufikia leo hii,kwani cha mwanadamu hakidumu maana hakina uhai ndani yake,bali cha Mungu ndio kinachoishi milele yote kwani Mungu ni wa milele.nashangaa kwa watu wanaojiita great thinkers kutotambua ya kuwa hata wazungu imani hii walipelekewa!
yaah nilisikia gunshots mida hiyo sababu nipo maeneo ya karibu,ila sikutilia maanani nikadhani labda Yanga walishinda wakawa wanasherehekea ushindi,kumbe maafa!
ni kama vile unaponunua simu ukaitoa kwenye box,utaikuta imefungwa na nailoni kwa ndani,kwahiyo kazi ya chupi ni kama ile nailoni,upo?kiufupi ni kuongeza hamasa kwa mtumiaji awe na morali wa kukifikia kile kilichopo ndani,imagine umetumiwa zawadi ukafungua box ndani ukakutana na nailoni likaja...
NEGRO(masculine),NEGRA(feminine) ni neno lenye asili ya kireno lenye maana ya kitu cheusi tiii.kwa marekani wazungu walitumia kuwaita watu weusi wakimaanisha kinyesi cheusi!ndo maana limekuwa na tafsiri ya kibaguzi.
ingekuwa Mungu anawapangia watu ya kufanya,basi binadamu tungefanana na malaika na waovu wangeangamizwa,ila dunia ina mchanganyiko wa watu waovu na wema na wote wanaishi katika viwango vyote vya maisha(kuna waovu maskini na wanyonge pia wapo waovu matajiri,kuna wema matajiri na wapo wema hao hao...
yote kayamaliza Yesu"hata ningekuwa na imani ya kuhamisha milima kama sinao upendo mimi si kitu kabisa"maana nafsi iliyo huru inatakiwa kujazwa na upendo wa kimungu kabla ya yote hayo,maana hiyo miujiza sijui kufufua wafu,uponyaji yanawezekana kwa mwanadamu,ila nafsi ya mwanadamu kuwa na hadhi...
unajua mkuu huu ulimwengu wa vitabu vya mafundisho mbalimbali unateka akili za watu kwa kasi kiasi kila mtu anataka kuwa mjasiriamali siku hizi!siyo kila elimu inaelimisha nyingine zinapotosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.