Mimi najiuliza kitu kimoja na sipati majibu. Hivi inakuwaje Mkuu wa shule anakataa kumsainia mwalimu barua? Mbona watu wanaongeza migogoro baada ya kuipunguza?
Kweli JPM kazi unayo. Nakubali msemo wako kwamba sasa ni nafasi kwa vijana.
Hv wakurugenz wanasaini barua kwa mpango gain? Mbona wanazingua sana? Kitendo cha kusaini nacho kinachukuwa siku mbil na zaidi! Tunamuomba Majaliwa alitazame hili, we are tired
Serikali imeishatusaidia Elimu bure hvo tulijitaid kuwekeza kwenye siasa safi hakuna haja ya kuangalia elimu kwa upandewa wazazi bali tumewaachia serkali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.