Posho mtapewa hakuna anaweza kukuzurumu tumepeleka dodoso namana pesa mwezi wa saba ikiingia kama hujaitengenezea bajeti inakuwa bakaa so pesa kabla ya bakaa na baada imeingia keshokutwa wanapelema bank checklist kisha unapewa pesa yako yote TUIPENDE NCHI YETU
Unapokuwa umejenga nyumba yako nzuri na kuiwekea fens au uzio suala la utupaji taka taka nje kwa majirani linaumiza jitahidi uwe na sehemu ya kuhifazia taka taka
Ukitaka udumu tendoni jaribu kumwaga nje inapelekea kutomaliza hamu yani muda wote unakuwa umedisaaaa....ikishindikana unapata...
Watakula wapi wapo sawa kabisa halafu hapo kila mwalimu ni mwanachama wa ccm.... Sasahiv ukiwa mkosaji jisajili kwanza chamani zen mpango mzima pigeni pesa walimu mmezulimiwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.