Recent content by pepekale

  1. pepekale

    Video: Vijana wa JKT waanza mafunzo JWTZ, wengine watoroka

    Hao waliotoroka ni vijana wa wakubwa walio chomekwa kwenda kozi ya JWTZ wakati hawajapitia mafunzo ya JKT. Vijana wengi wa walala hoi hawajapelekwa Kozi bado wanasota JKT karibu mwaka wa tatu sasa.
  2. pepekale

    Usaliti ni laana: Elia F Michael awa Mtendaji wa Kata, apigwa marufuku kugombea ubunge kupitia CCM, adhulumiwa hela za usaliti

    Mbona Elia anataka kuacha kazi ya utendaji na kuachana na CCM Tanzania, ameshasema huko kwenye page yake ya facebook
  3. pepekale

    Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kupunguza gharama za Serikali kwa kutoteua DAS

    Wilaya nyingi Tanzania kwasasa hazina Makatibu Tawala ( DAS ) Hii ni kutokana na Makatibu Tawala wa Wilaya wengi kuteuliwa nafasi za Ukurugenzi na Ukuu wa Wilaya na Wengine Makatibu Tawala wa Wilaya wamestafu utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria. Kazi zinaendelea bila hawa Makatibu Tawala wa...
  4. pepekale

    Diwani wa Kata ya Gwarama (CHADEMA) na aliyekuwa mgombea wa Ubunge kwenye uchaguzi mdogo jimbo la Buyungu aachana na CHADEMA na kujiunga CCM

    Diwani wa Kata ya Gwarama wilayani Kakonko na MwanaJF Ndugu Elia F Michael aliyekuwa mgombea wa ubunge kwenye uchaguzi mdogo mwaka 2018 jimbo la Buyungu ameamua kuachana na Chadema na kujiunga na CCM. Pia soma...
  5. pepekale

    Rais Magufuli aondoka nchini kwenda Malawi kwa ziara ya siku Mbili, akitoka huko atapitia Mbeya kwa ziara ya siku 8

    Ina maana alivyovuka kwenda Kigamboni hakuvuka Bahari ya Hindi? Tuwe na kumbukumbu basi. ...
  6. pepekale

    Rais Magufuli apokea ripoti ya CAG, 49% tu ya fedha za maendeleo zimefika ktk Halmashauri. Wakurugenzi 2 watumbuliwa

    Wamemsimamisha Mkurugenzi wa Kigoma Ujiji Mzee Mboya ambaye tayari amestaff miezi miwili iliyopita? Kweli Mboya unaakili nyingi sana maana wakati ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kibondo ulifanikiwa kuchoma ofisi yako na masijala nyaraka nyeti ziliteketea baada ya muda mfupi ukahamishiwa kuwa...
  7. pepekale

    M/kiti Halmashauri ya wilaya Kibondo, Simon Kanguye amepotea tangu Julai 24, 2017

    Jambazi mzoefu Saimoni Kangunge amepotea au amechukuliwa na majambazi wenzake?
  8. pepekale

    CCM bila Rushwa haiwezekani, Kibondo wagombea wamekamatwa na Rushwa live

    Uchaguzi unaoendelea ndani ya Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kibondo umetawaliwa na Rushwa, Takukuru ilifanikiwa kuwakamata wagombea wawili wa nafasi ya uenyekiti na katibu mwenesi wakigawa Rushwa na kiloba kilichojaa tshirt, kofia na vilemba vya chama. Waliokamatwa ni Hamisi Tahilo...
  9. pepekale

    Vyeti feki: Daktari Mkuu Morogoro akumbwa, ni msomi toka Urusi aliyekaribia kustaafu

    Mbona hata watoto wa Balozi Jaka Mwambi hawana vyeti vya form Six lakini Wana Masters Degree za Urusi. Pia Mtoto wa Ditopile nae vyeti vyake ni tia maji tia maji lakini ana Master degree ya Urusi ya Sheria. Urusi wengi walikwenda kwa vyeti vya kifoji miaka ya 2007 na 2008.
  10. pepekale

    Serikali ipeleke watu kusoma nje Digrii za Machine Building

    Serikali hii ikipeleka wanafunzi nje wakihitimu na kurudi nchini huwa haina habari nao. Inatumia gharama kubwa kuwasomesha nje ili wapate ujuzi mzuri lakini wakirudi wanahangaika na bahasha mjini. Wapo jamaa wengi mtaani wamesoma Ukraine, Poland, Urusi, China, Cuba, Algeria n.k. Wana miaka...
  11. pepekale

    Hoja ya dharura wanachuo 7,000 UDOM: N/Spika aahirisha Bunge baada ya wabunge kwa pamoja kutoka nje

    Bunge limechafuka muda huu baada ya Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari kuomba mwongozo wa kujadili hoja ya wanafunzi zaidi ya 700 waliofukuzwa chuoni ijadiliwe kama hoja ya dharura. Naibu spika akaendeleza ubabe hivyo wabunge wa vyama vyote walisimama na kutoka nje. Chanzo: Radio One
  12. pepekale

    Hotuba ya Felix Mkosamali imejaa maswali kuliko mapendekezo ya nini kifanyike

    Ndio mmeanza kujua uboya wa Mkosamali leo!!
Back
Top Bottom