Wabunge wanalipa kodi kutoka kwenye mshahara wao ambao ni mil 4 na ushee,ila hawalipi kodi kwenye maposho yao wanayopata ambapo ndiyo wanapata pesa nyingi huko,karibu mil 7 na ushee,sababu wanayotoa ni kuwa eti kazi yao ni ya mkataba wa miaka 5.
Huyu askofu rashidi wenzake kama yeye walibeza sana huu ugonjwa matokeo yake ikiwapata wanaomba wapelekwe hospitali kule kule kwenye sayansi wanayoipinga kuwapa kazi ya ziada madaktari wetu, mimi ombi langu watu kama hawa wanaojifanya kujua na wakaidi siku wakija kuumwa na wakizidiwa wapelekeni...
Na huyu Gwajima kudhibitisha yeye ni boya ni kudanganya watu kuwa anafufua maiti,alionyesha kwenye video moja anamfufua mtu aliyekufa,sasa kama ana uwezo huo si angemfufua mwendazake basi aliyempa ubunge ili tumuamini maneno yake? Siyo kutumia nguvu nyingi kuhubiri uongo huku jasho la kwapa...
Waziri Mkuu wa Uingereza ametangaza rasmi kujiuzulu uongozi wa chama chake na hivyo jyachia ngazi uwaziri mjuu mwezi ujao wa sita.Waziri mkuu huyo alibubujikwa na machozi wakati akitangaza azma yake hiyo...
Jeshi la Sudan limemlazimisha rais wa nchi hiyo Al Bashir kuachia ngazi haraka sana.Jeshi litatangaza uamuzi huo muda si mrefu na Al Bashir amekubali kuepusha umwagaji damu.who's next??????
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mnaboa sana, yeye amefanya makosa na amekubali na kuomba msamaha, ki binaadamu ni kusamehewa kwanza, sasa kama baadaye atafanya kosa tena basi sasa hapo ni kuchukuliwa hatua za kisheria.kuna msemo unasema "kufanya kosa si kosa, kosa ni kurudia kosa". Jamani tujifunzeni tuacheni ushabiki...
Hahahaaaaaa, wewe una chuki binafsi.mbona hata mimi sijui wewe umezaliwa kijiji gani? Na wala siwajui wazee wako?Ongea points basi siyo ulete chuki tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu spika ni pimbi kweli kweli, si alishasema huko nyuma kuwa kamati ya bunge lilikuwa limeshaifanyia kazi hiyo 1.5T na kwamba serikali ilishatoa maelezo ku clarify hiyo 1.5T.? Sasa kwa nini achukuie kuambiwa bunge ni dhaifu na huo ndiyo ukweli? Kama siyo dhaifu watupe kila kitu...
Kiongozi wa upinzani nchini Venezuela Juan Guaido amejitangaza kuwa yeye ni Rais halali wa Venezuela badala ya Nicolas Maduro na ameshatambuliwa na Rais Trump pamoja na nchi 5 za amerika ya kusini.Bwana Juan Guaido ameliomba jeshi kumsaliti Bwana Maduro na kumpa support yeye ns kuahidi kufanya...
Acha wewe utamfanya akajifiche kwanza atasingizia eti ana kazi nyingi na hana muda wa mahojiano, lakini muda wa kukaa majukwaani kutoa porojo anao, we acha tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.