Recent content by Pepat

  1. P

    Ujumbe maalum wa tahadhari kwa Maaskofu na waumini wa KKKT

    Kuna mtu kakuandikia au ni wewe mwenyewe???!!! Ukianza kusoma alichoandika mleta mada hata kabla hujamaliza unagundua kwamba ametumwa au amejituma kubashiri kitakachosemwa na viongozi wa KKKT kama salamu za mwaka mpya. Nia ya bandiko lake ni ku discredit salamu hizo kabla hazijatoka ili zikitoka...
  2. P

    Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Soweto mjini Moshi yateketezwa kwa moto

    Hii ni janja ya walioharibu uchaguzi, huu uchomaji wanaufanya wenyewe,lengo ni kukwepa aibu na kuhalalisha urudiaji mzima wa hatua zote za uchaguzi pale upinzani utakapogoma kabisa kushiriki kwa njia yoyote kwenye huu uchaguzi wa sasa. Watajaribu kuvimba kwamba uchaguzi wa tarehe 24 utafanyika...
  3. P

    Pamoja na kuvurugika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ni kwanini Waziri Jafo hajiuzulu?

    Huu ni "UJAFUZI" wa serikali za mitaa, jafo amefanya kazi yake vizuri, ameshapongezwa gizani,atazawadiwa hadharani muda muafaka ukifika
  4. P

    Ujerumani: Tundu Lissu afanya mahojiano na kituo cha utangazaji Deutsche Welle(DW)

    Unaweza kututajia porojo alizoongea?? Hii lugha aliyotumia ni ngumu nimeshindwa kuzisikia hizo porojo
  5. P

    Tundu Antipas Lissu on BBC HARDtalk - 21 January 2019

    Ndio point iliyoipata baada ya kuangalia kwa makini interview?
  6. P

    Tundu Antipas Lissu on BBC HARDtalk - 21 January 2019

    Kwanini usingetafuta mkalimani kwanza kabla ya kuchangua mawazo yako kwenye hiyo interview?
  7. P

    Waziri wa Fedha: Ukusanyaji wa kodi unashuka, hauridhishi!

    Contradiction, hawa watu kila mwezi wanavuka lengo, iweje tena nusu ya mwaka wakawa wamekusanya asilimia 62?!!! Au hesabu za asilimia zimebadilika siku hizi sio zile tulizokua tunafundishwa zamani
  8. P

    Kilimo kinadorora, viwanda hakuna,uwekezaji unasuasua,wafanyabiashara wanakimbia,n.k.Je,katika hali hii, SGR hii itabeba mizigo gani kuleta faida?

    Jambo la msingi SGR ijengwe ili ionyeshwe kwa wapiga kura, tunataka kuwaumbua wapinzani, hilo ndio lengo kuu. Baada ya hapo tutatangaza tenda kwa ajili ya kuandika business plan ya kuendesha SGR. Hakuna linaloshindikana chini ya jua, hasa kwa serikali yetu hii sikivu. Kuhusu suala la kujiendesha...
  9. P

    Hali ni MBAYA watu wanafutwa kazi kuliko ile miaka ya Y2K kuingia kwa kompyuta. Magufuli anaua sekta binafsi kodi atakusanya wapi?

    Ambazo zitasaidia kulipa wakulima wa korosho, kuongeza mishahara kwa wafanyakazi, kuwapa ajira watu wote waliofukuzwa kazi, zitasaidia pia kurekebisha kikokotoo cha mafao, zitasaidia sana kuongeza bei za mazao yanayododa kwenye maghara kama vile mahindi, vilevile hizi Ea Basi zitapunguza kodi...
  10. P

    Tathmini hoja za EU. Kuna muongo na uongo, kuna mkweli na ukweli. Kati ya EU na Balozi Mahiga, nani muongo, nani mkweli, watanzania tumwamini nani?.

    Tanzania mpya inakuja...ni kweli mkuu, hii ni Tanzania mpya kwerikweri haijawahi kutokea ulimwenguni, tutembee vifua(wazi) mbere kma tumepigwa ngumi ya mgongo. Tukipata nimonia bahati mbaya
  11. P

    Tathmini hoja za EU. Kuna muongo na uongo, kuna mkweli na ukweli. Kati ya EU na Balozi Mahiga, nani muongo, nani mkweli, watanzania tumwamini nani?.

    Haya "Mabeberu" yatakua maongo. Yanatudanganya eti watoto wetu wakipata mimba hawaruhusiwi mashuleni, yanaleta uongo eti wapinzani wanalimia meno, bila aibu yanadanganya eti hakuna uhuru wa habari, mara katiba inasiginwa, haijaishia hapo inajaribu kutuaminisha eti tunawanyanyapaa wakosefu wa...
  12. P

    Baada ya dalili ya vikwazo wanaomba wananchi tuwasaidie

    BEBERU, wakiwa wengi wanaitwa MABEBERU...wakija nchini wanaitwa WANAUME....mimi ni mwanaume kwahiyo ni beberu hivyo naungana na mabeberu wenzangu
  13. P

    Baada ya EU, Serikali ya Marekani nayo yaugeukia utawala wa Rais Magufuli

    Ungejiridhisha kwanza na alichoandika pascal, haya uliyoandika mpaka naona aibu mimi. Kweli elimu inahitajika kwa kizazi hiki cha instagram. Pascal tafadhari uache sasa mambo ya sarcasm(kisengerenyuma), unawachanganya watu
  14. P

    Waziri Mahiga kuwajibu Umoja wa Ulaya na Marekani

    Mi napenda huyu sisimizi aendelee kumvimbia tembo, tena natamani ajitutumue "kwerikweri". Hii itatuharakishia kifo cha " sisimizi". Baada ya hapo ni kazi na bata
  15. P

    Baada ya EU, Serikali ya Marekani nayo yaugeukia utawala wa Rais Magufuli

    Duuh, leo umeamua kufunguka kabisa, mara nyingi umejitahidi kutumia mzunguko mrefu wa uandishi wa kinyumenyume lakini leo umeona isiwe tabu, liwalo na liwe, hongera brother
Back
Top Bottom