Recent content by Penguini

  1. Penguini

    Nimeamini wanaume hawaaminiki

    kumwamini mwanaume kwamba hawezi kutongoza nje ni ujinga unaotokana na kukumbatia mafundisho ya wazungu, waliyoyaleta kwa maslahi yao, maana kwa asili kila kiumbe cha kiume kinazo sababu za asili kuwa na jike zaidi ya moja. Ibrahimu baba wa imani ya kikristo alikuwa na wake wengi japo uzinzi...
  2. Penguini

    Natafuta mchumba(ke)

    hapo mtaani kwako kama kakuna hapa jf kuna wakubwa kuliko umri huo, labda wakupe watoto wao
  3. Penguini

    Mstaafu anapewa milioni 17 baada ya miaka 40 mbunge millioni 17 kwa mwezi

    HII NI SUMU INAYOPIKWA IKISHAIVA CCM ITABAKI KWENYE MAFAILI TU!
  4. Penguini

    Chemistry ya waandamizi wateule CCM ni moto mkali kwa upinzani dhaifu sana nchini

    Nadhani uwezo wako hautoshi kutambua mwanasiasa mwenye uwezo wa kufanikisha mikakati ya chama kwamba anatakiwa aweje.
  5. Penguini

    Asha (47) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mvulana wa miaka 15

    Hivi hakuna wanasheria hapa watufafanulie imekaaje hiyo?
  6. Penguini

    Asha (47) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mvulana wa miaka 15

    Bora wamfunge tu, ingawa huenda hana akiri timamu, maana miaka 15 hata hajui kumkojoza mwanamke, ye alifata nini wakati kuna ma rijali wanaita kila anaekatisha mbele yao?
  7. Penguini

    Waandalieni ndugu zenu sehemu za kukaa

    Kama watanzania waje tu, tuna mapori mengi ya akiba
  8. Penguini

    Nimeoneshwa maono kuwa babu Seya anaachiwa huru

    Ni ndoto, yuko usingizini
  9. Penguini

    Mawakili wa Lema wafungua kesi mahakama kuu wakitaka Lema afikishwe mahakamani

    Nimeanza kuwa na mashaka na ccm juu ya lema!
  10. Penguini

    Mke wangu hana hisia za kimapenzi

    Puuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!
  11. Penguini

    Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

    Serikali haiwezi kuwaacha ktk hali hiyo, itakuwa na mpango mbadala, kama wanauwa watu wengine wanaoingia kisiwani humo kufikia mahala pa serikali kuona hilo huenda nao wako Anekana adui wa binadamu wengine; sasa kama serikali inaweza kuwachukuli hivyyo maana yake ina lake jambo nyuma ya pazia...
  12. Penguini

    Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

    Je ni binadamu kama sisi? Na je wanajua nn kuhusu Mungu? Na kama hawajui chochote Tukisema kwamba haya mafundisho ya dini waliyaleta kwetu wazungu ili watutawale mtabisha? Kama Mafundisho hayo yako corect kwa nini wasikutwe na wao wanayo mafundisho yanayofanana na ya vitabu vyetu vya dini, kwa...
  13. Penguini

    Tazama Vodacom wanachotufanyia!

    We ndiye huelewi, kitu kilicho wazi hivo unahitaji umakini wa kuchunguza nn?
Back
Top Bottom