Yaani me mwenyewe nilipanda jana around same time..na ilikuwa my first time na baada ya kuvuka salama nikaapa sitarudia tena, namshukuru mungu sana kwa kutulinda..ni very risky..wale vijana wenye mitumbwi hawaeleweki yaani akili zao kama hazijatulia..wanachojali ni pesa tu..nimejifunza hata mtu...
We are on same boat, me nlikopa 11m 2013 hadi uishe nalipa about 20.5m..yaani hii bank najuta kuwafahamu..halafu wana tabia ya kuongeza riba katikati ya mkopo kiasi kwamba repayment period inazidi kuongezeka..nilichojifunza kabla hujachukua mkopo inabidi uwe umeshafanya careful...
Habari, natafuta nyumba ya kupanga kigamboni..iwe maeneo ya kuanzia feri-mji mwema au hata kibada sio mbaya.
Iwe na vyumba 3 vya kulala, sitting room, kitchen, fence etc..budget yangu ni 250,000. Mwenye nayo aniPM.
Mimi nimemwingiza mdogo wangu as one of dependant..niliambatanisha affidavit of dependency as evidence..nadhani inakubalika or else itakuwa inategemeana na mwajiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.