Mimi ninaishauri Serikali iliangalie hili tatizo kwa umakini Mkubwa, na ikiwezekana wawarejeshe Kazini Madereva wazoefu waliondolewa kwa tatizo la Vyeti vya Kidato cha nne.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua hata wakati ule Yesu anafanya Miujiza mingi kama kuponya Wagonjwa na kutoa watu Pepo, walitokea pia watu kama nyinyi waliomwambia anatoa Pepo kwa nguvu za giza yaani anatumia nguvu za Berzebuli. Msafara wa Mamba lazima Kenge wawepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh. Rais Ndugu John Pombe Magufuli. Kwanza kabisa napenda nianze na kukupongeza kwa kazi kubwa na ngumu unayoendelea kuwafanyia watanzania. Mh. Rais kwanza kabisa napenda niongee kwa heshima kubwa nikiwa kama mpiga kura wako na ni Mdhamini wako wa uchuguzi Mkuu katika Mkoa mojawapo Tanzania...
Mheshimiwa Spika na Bunge lako Tukufu kwanza niwapongeze kwa kazi kubwa mnayoendelea kulifanyia Taifa letu. Mheshimiwa Spika kwa heshima kubwa tunaomba Muishauri Serikari iwarudishe Kazini Madereva waloondolewa kazini kwa Masharti yoyote yale ili kuweza kunusuru Maisha ya watumishi wa Serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.