Taharuki nyingine hii!
Ila naamini hawana nia mbaya wala taarifa za kuokoteza , wana weledi na upeo mkubwa pia busara na umakini wako nao.
Haiyumkini hali si shwari.
Hongera sana Mahondaw kwa siku nzuri ya kuzaliwa , yote mazuri ulitamkiwa kwenye uzi huu yawe hivyo mara dufu, nami nakuombea leo yako iwe bora kuliko jana dada yangu.
Najaribu kufikiria kama vile bi mkubwa ana bifu na marehemu Magufuli!
Kwa namna alivyo fika hapo alipo kwa mbeleko ya magufuli asingepaswa kuhudhuria msiba huu, ikizingatiwa magufuli alikua anampenda sana mama yake.
Anyway jana si leo na kesho kesho kutwa.
Kuna wakati nilitaka kuanzisha uzi kwamba yooote haya tunayo pitia ni sababau ya mabeyo, kuna namna hata ikibidi kwa maslahi mapana ya taifa katiba isifutwe ili kunusuru nchi.
Sasa kipi bora kufuata katiba kwa kipengele kidogo kisha hiko kipengele kinaenda kuibomoa katiba nzima!
Sijujua kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.