Recent content by Pendaelli

  1. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Kwa nini serikali haipati wazo la kuanzisha miji mipya ya kimkakati ya maendeleo jumuishi?

    Itasaidia sana kuliko tunavyo weza kueleza, ukiangalia vile nguvu kazi inapotelea pale dar es laam , kuke Mbagala temeke gongo la Mboto kariakoo nk , huwa naumia sana. Ila serikali inaona kawaida tu
  2. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Tanzania bado ni maskini ikiwa imejaliwa raslimali nyingi kiasi cha kutosha

    Salamu kwa wote. Bado naendelea kutafakari ni namna gani taifa litaondoka kwenye huu umaskini na ufukara ukiopo kati ya wananchi dhidi ya utajiri wa rasilimali zake. Kwa mfano nchi ya Luxembourg ina square km 2,600 nchi nzima na ni moja ya nchi tajiri zaidi duniani . Kwetu Tanzania mwambao...
  3. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Kwa nini serikali haipati wazo la kuanzisha miji mipya ya kimkakati ya maendeleo jumuishi?

    Si vibaya kuanza upya, na kuanza si kwa mtindo ulio zoeleka ila kwa mtindo wa mji wa kimkakati. Mji utakao zalisha ajira, uchumi na pato la taifa na maendeleo ya moja kwa moja.
  4. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Norway Fund ni kitu ambacho kinapaswa kuigwa na serikali ya Tanzania kwa mustakabali wa kizazi kijacho

    Hili lingefaa liwe hata kwenye hio inayo itwa dira ya maendeleo ya taifa ya 2025-2050. Ni miaka 25 tu inaweza kubadilisha kabisa taifa hili kutoka kwenye umaskini na madeni.
  5. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Norway Fund ni kitu ambacho kinapaswa kuigwa na serikali ya Tanzania kwa mustakabali wa kizazi kijacho

    Inabidi tuongeze pale kwenye maadui wetu wa taifa ccm iwe moja wapo
  6. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Morogoro ni kama vile umekuwa ukitudisha kimtindo

    Naam naam , hata D 2 zinatoshao Hamna cha kuona tena, tusha ona na kuona . tumebaki na viulizo na majuto
  7. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Morogoro ni kama vile umekuwa ukitudisha kimtindo

    Naam naam , hata D 2 zinatoshao
  8. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Morogoro ni kama vile umekuwa ukitudisha kimtindo

    Umeturudisha nyuma sana huu mkoa.
  9. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanaume wa kubadilisha naye mawazo

    Sasa mbona pm hufungui tokea jana !
  10. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania KERO Mwanajeshi mstaafu afunga barabara ya mtaa akidai ni kiwanja chake

    Kuna mwingine huku kwetu alikua kanal, yeye amefunga kwa maadai anairekebisha, sasa watu inabidi wazunguke km kama 6 kupisha hiko kipande alicho funga.
  11. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Haya maisha kila mtu kapewa zigo lake ajitwike, kuna sisi ambao hata app ya betting hatuijui ilanyeto inatumaliza. Dunia haitaki tupoe, haitaki tuwe na amani haitaki tuwe na furaha. Kila kitu kimesukwa kwa structure ya kipekee! Haiwezi kuzivuka , ukikosa dini utakutana na ulevi wa pombe, njoo...
  12. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Yaani ameni block, ame delete my number alafu analalamika kwamba hatuwasiliani

    Oky pole lakini , natumaini umepata tarifa sahihi kwa watu sahini.
  13. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Yaani ameni block, ame delete my number alafu analalamika kwamba hatuwasiliani

    ephen_ mi na udactari wapi na wapi boss wangu. Ila bwana damu huwa ni safi haipaswi kuwa na bakteria yoyote, hivyo doctor akikuambia una bacteria kwenye damu ina maana una maambukizi fulani kulingana kipimo cha shida husika, mfano fangasi, jipu, mambukizi ya njia mkojo nk. Kuna ile inaitwa...
  14. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Hakuna kikundi kinachopiga hela za kutosha kama bodaboda, ni basi tu wengi wao ni vijana wadogo wanaondekeza starehe

    huyo aliona mbali isingepita muda angekuwa kama wao na hata kuwazidi
  15. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Duh! Hapa sijui nafanyaje. Mtu una mtoto mnalingana kila kitu sasa nifanyeje

    mnapo pika chai hakikisha ina viungo sahihi sasa chai hii haijulikani tangawizi imezidi ama hiliki au mdalasini au haina sukari ya kutosha!
Back
Top Bottom