Itasaidia sana kuliko tunavyo weza kueleza, ukiangalia vile nguvu kazi inapotelea pale dar es laam , kuke Mbagala temeke gongo la Mboto kariakoo nk , huwa naumia sana.
Ila serikali inaona kawaida tu
Salamu kwa wote.
Bado naendelea kutafakari ni namna gani taifa litaondoka kwenye huu umaskini na ufukara ukiopo kati ya wananchi dhidi ya utajiri wa rasilimali zake.
Kwa mfano nchi ya Luxembourg ina square km 2,600 nchi nzima na ni moja ya nchi tajiri zaidi duniani .
Kwetu Tanzania mwambao...
Si vibaya kuanza upya, na kuanza si kwa mtindo ulio zoeleka ila kwa mtindo wa mji wa kimkakati.
Mji utakao zalisha ajira, uchumi na pato la taifa na maendeleo ya moja kwa moja.
Hili lingefaa liwe hata kwenye hio inayo itwa dira ya maendeleo ya taifa ya 2025-2050.
Ni miaka 25 tu inaweza kubadilisha kabisa taifa hili kutoka kwenye umaskini na madeni.
Kuna mwingine huku kwetu alikua kanal, yeye amefunga kwa maadai anairekebisha, sasa watu inabidi wazunguke km kama 6 kupisha hiko kipande alicho funga.
Haya maisha kila mtu kapewa zigo lake ajitwike, kuna sisi ambao hata app ya betting hatuijui ilanyeto inatumaliza.
Dunia haitaki tupoe, haitaki tuwe na amani haitaki tuwe na furaha.
Kila kitu kimesukwa kwa structure ya kipekee! Haiwezi kuzivuka , ukikosa dini utakutana na ulevi wa pombe, njoo...
ephen_ mi na udactari wapi na wapi boss wangu.
Ila bwana damu huwa ni safi haipaswi kuwa na bakteria yoyote, hivyo doctor akikuambia una bacteria kwenye damu ina maana una maambukizi fulani kulingana kipimo cha shida husika, mfano fangasi, jipu, mambukizi ya njia mkojo nk.
Kuna ile inaitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.