Sijui maana yake ninini hii video kuwa wazi kwa uma lakini kila mtu akiitwa kutoa maoni ya lile tukio kila mmoja atakuwa na hadithi yake ya kusisimua.
Hii maana yake ninini, raisi hakuwa sahihi kusema nguvu iliyotumika ilikua halali! Hili ni kosa sana, haikupaswa kusema waathirika walikua...
Hata hao wanao mtetea kila siku hapa ndani ya mioyo yao hawampendi.
Hii haina hata haja ya utafiti huku mitaani sijawahi mimi binafsi kukutana na mtu mwenye mapenzi nae, hata hawa wajumbe walio no wana ccm hawampendi, hata hapa jukwaani wanao muanzishia nyuzi za sifa hawazidi kumi!
Ni jinsi...
Mbona kama kuna zidi kufumuka aisee!
Leo butiku kuna lugha ameongea imeeleweka, leo hii tume imepokea maoni ya wana dar es laam nako kuna lugha imezungumzwa, juzi kulikua na Dw, leo hawa tena !
Aiyumkini hali si shwari!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.