Recent content by Pendaelli

  1. Pendaelli

    Kama upo baa na ndugu comrade kipepe mwambie muhudumu sasa imetosha, mwamba akampumzike nyumbani

    Wasimamizi wa jf nao wawe active, mada za huyu jamaa ziunganishwe zote ziwe
  2. Pendaelli

    Dkt. Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu, Zanzibar

    Hyu Huyu ndie pasco ninaye mfahamu juzi na jana na sio Pascal Mayalla wa leo hii. Asante kwa comment hii.
  3. Pendaelli

    Mhanga wa Oktoba 2025: Nilitelekezwa kwenye chumba chenye maiti 20 huku nikishuhudia wengine wakipoteza maisha

    Sijui maana yake ninini hii video kuwa wazi kwa uma lakini kila mtu akiitwa kutoa maoni ya lile tukio kila mmoja atakuwa na hadithi yake ya kusisimua. Hii maana yake ninini, raisi hakuwa sahihi kusema nguvu iliyotumika ilikua halali! Hili ni kosa sana, haikupaswa kusema waathirika walikua...
  4. Pendaelli

    Mlidhania mkiwatukana na kuwadhalilisha wakatoliki rais Samia atakubalika! Ndio anazidi kukataliwa mioyoni mwa Watanzania.

    Hata hao wanao mtetea kila siku hapa ndani ya mioyo yao hawampendi. Hii haina hata haja ya utafiti huku mitaani sijawahi mimi binafsi kukutana na mtu mwenye mapenzi nae, hata hawa wajumbe walio no wana ccm hawampendi, hata hapa jukwaani wanao muanzishia nyuzi za sifa hawazidi kumi! Ni jinsi...
  5. Pendaelli

    Rais Samia kuongoza protokali ya mazishi ya muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei

    Sasa msiba na siasa wapi na wapi. Watu wa chadema ni walipaji wazuri wa kisasi hata pasipo paswa !
  6. Pendaelli

    Haya maneno yanayosambaa kuhusu Group O+ yana ukweli au ni tabia ya mtu ?

    Kuna tafiti nyingine unaweza kusema mimi ndio nilikua chanzo cha huu utafiti na mhitimishaji. Yoote hayo na aliyo sema nakwede97 ndio mimi kabisaaa
  7. Pendaelli

    Shirika la kuaminika la kimataifa(CIR) kutoka Uingereza laja na report nzito yenye ushahidi mauaji M029

    Mbona kama kuna zidi kufumuka aisee! Leo butiku kuna lugha ameongea imeeleweka, leo hii tume imepokea maoni ya wana dar es laam nako kuna lugha imezungumzwa, juzi kulikua na Dw, leo hawa tena ! Aiyumkini hali si shwari!
  8. Pendaelli

    Gift Macha ni aina ya wanaume wadhaifu wanaotengeneza kundi kubwa katika jamii hii inayofukazana na usasa usio na tija

    Hii macha ni ya uchagani, mbona wachaga hatujalelewa hivyo aisee, au wachaga wa mjini?
  9. Pendaelli

    Confirmed, Nyumba ya Stevin Wassira ilichomwa moto kwenye MO29

    Msijali bro! Kituo kinachofuata kitakuwa kitamu Sana kwenu.
  10. Pendaelli

    Mjumbe wa Kamati ya Uendeshaji Chipukizi CCM Taifa Isaac M. Nchemba amewaasa Watanzania kuipenda na kuilinda Tanzania

    Ujinga ujinga tu. Hivi chipukizi ilirudi lini? Magufuli si aliwahi kuifuta?
  11. Pendaelli

    Injili ya Barinaba chapter 39 Aya ya 2

    Barinaba wa Saudia
  12. Pendaelli

    Mbowe ni mtu wa ajabu sana

    Moja ya wanasiasa walio tukanwa mbowe ana nafasi yake. Upande alio uchagua ni sahihi.
Back
Top Bottom