Recent content by Pendaelli

  1. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania TEC yaahirisha kongamano la Kitaifa la Utoto Mtakatifu, sababu ikiwa ni “alama za nyakati”

    Taharuki nyingine hii! Ila naamini hawana nia mbaya wala taarifa za kuokoteza , wana weledi na upeo mkubwa pia busara na umakini wako nao. Haiyumkini hali si shwari.
  2. Pendaelli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy Birthday Mahondaw ❤️

    Hongera sana Mahondaw kwa siku nzuri ya kuzaliwa , yote mazuri ulitamkiwa kwenye uzi huu yawe hivyo mara dufu, nami nakuombea leo yako iwe bora kuliko jana dada yangu.
  3. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Mdau, unatumia muda gani kwenye matumizi ya AI kwa siku?

    Kwenye picha ilikua jana , hii picha niipiga jua likizama (machweo) nilitaka itoke bila background ya miti , ndio ikawa hivyo.
  4. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Mdau, unatumia muda gani kwenye matumizi ya AI kwa siku?

    Kwa kweli imekuwa msaada wa haraka na wa uhakika japo si kwa 100% kupata taarifa mbali mbali
  5. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Mdau, unatumia muda gani kwenye matumizi ya AI kwa siku?

    Mimi natumia muda mrefu mno, ona kama hizi mada ndani yake kuna mijadala ya muda mrefu mno
  6. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Je ! Nikifunga plug 2 kwenye wire mmoja nikachomeka kwenye switch socket ya njia 2 nikawa sha nini kitatokea?

    Wataalamu wa umeme naamini watakuja hapa, nami naomba kuuliza ukikojolea waya wenye umeme unaweza kupigwa shoti?
  7. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi anazidi kukubalika na kuonekana ana busara kuliko wanachama wote wa CCM

    Mkuu kuna mtu alikua anaongea vizuri kama samia kipindi kile akiwa makamu?
  8. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Pages From My JF Diary 📝

    Dont forget kuweka siku ile isiyo sahaulika ya kuuvuka usichana
  9. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

    Sio hatujielewi ila wakati ukifika ambapo haupo mbali ndio itajulikana hatujielewi ama laa! Wakati si wa milele.
  10. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania What a Powerful Picture

    Najaribu kufikiria kama vile bi mkubwa ana bifu na marehemu Magufuli! Kwa namna alivyo fika hapo alipo kwa mbeleko ya magufuli asingepaswa kuhudhuria msiba huu, ikizingatiwa magufuli alikua anampenda sana mama yake. Anyway jana si leo na kesho kesho kutwa.
  11. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya muda mfupi, Zanzibar imetajirika ghafla ila Tanganyika chaliii

    Kuna wakati nilitaka kuanzisha uzi kwamba yooote haya tunayo pitia ni sababau ya mabeyo, kuna namna hata ikibidi kwa maslahi mapana ya taifa katiba isifutwe ili kunusuru nchi. Sasa kipi bora kufuata katiba kwa kipengele kidogo kisha hiko kipengele kinaenda kuibomoa katiba nzima! Sijujua kama...
  12. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Huduma ya Kujifungua imekuwa gharama sana katika Hospitali ya Wilaya Ubungo

    Mbona bei rahisi hivyo , sisi ilitugharimu laki nane na tuliambiwa hio ni gharama rahisi sana.
  13. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania KERO Apps za mikopo mitandaoni, serikali ipo wapi?

    Hata kama mkopaji ameshindwa kukipa si kwa hayo matukanani na kudhalilishwa kwa namna hio
  14. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Tiririka na JF

    Hii kuna watu walikusudia kuikomoa familia
  15. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Tiririka na JF

    Huu uzi sijui unaekea wapi, ama ngoja twende nao hivyo hivyo
Back
Top Bottom