Hongera sana kwa siku ya kuzaliwa,ila nakukumbusha tu huwezi kujingenga na historia yako, huwezi kufuta kumbukumbu za jana kwenye ufahamu wako,akili na ufahamu haifuti kumbukumbu kirahisi.
Hongera tena...jana ni bora kuliko, na leo ni bora kuliko kesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.