Recent content by pema

  1. P

    Je hii ndio UVCCM ya Magufuli Kirumba Mwanza?

    Usihofu tutarekebisha full story to come
  2. P

    Je hii ndio UVCCM ya Magufuli Kirumba Mwanza?

    Nimesema huo ni utanguliza najaribu kuonyesha jinsi jitihada zaweshimiwa zilivyo magharibi na mashariki na watu anaowaongoza
  3. P

    Je hii ndio UVCCM ya Magufuli Kirumba Mwanza?

    SAWA MKUU NADOWNLOAD HABARI KAMILI
  4. P

    Je hii ndio UVCCM ya Magufuli Kirumba Mwanza?

    [emoji3] Uongozi wa uvccm kirumba kwa njia za hila umelitoa KANISA la Victory Mission Center Kwa manufaa ya mwenyekiti hili linajulika na ushahidi upo je hii ndio uvccm ya Mgufulu? Nitaleta Habari kamili hivibpude
  5. P

    Ubinafsi mpaka akhera

    Hiyo kali
  6. P

    Hatimaye Siasa za Mitaroni zafikia ukingoni

    Nijuavyo Mimi watanzania watathibitisha ubovu was ccm kwa awamu hii 2020 hakuna atakayewapa kura
  7. P

    Movie ya awamu ya tano vipi?

    Jamani mwenzenu sielewi sarakasi zote za watawala maisha bado sioni uafazali jamaa yangu alikuwa akipiga mi 3 sasa ni mi 2 nayo ya kubahatisha kulikoni?
  8. P

    Movie ya awamu ya tano vipi?

    Jamani mwenzenu sielewi sarakasi zote za watawala maisha bado sioni uafazali jamaa yangu alikuwa akipiga mi 3 sasa ni mi 2 NATO ya kubahatisha kulikoni?
  9. P

    Edward Lowassa atoweka ghafla kwenye media nchini

    Mtoa mada unaharaka sana subiri Ukawa Wanajielewa hawaendi kwa nguvu za upepovkimya kirefu kina mshindo trip hii lowasa atafanya siasa za maana nyie jipangeni mashambulizi yanakuja
  10. P

    Edward Lowassa atoweka ghafla kwenye media nchini

    usihofu wala usiwe na haraka ccm haina jipya
  11. P

    Edward Lowassa atoweka ghafla kwenye media nchini

    Mtoa mada unaharaka sana subiri Ukawa Wanajielewa hawaendi kwa nguvu za upepo kimya kirefu kina mshindo trip hii Lowasa atafanya siasa za maana nyie jipangeni mashambulizi yanakuja
  12. P

    Rais Kikwete ateua Wakuu wa Wilaya 13 wapya, ahamisha wengine 7

    maisha bora kwa wanaCCM inafanya kazi
  13. P

    Ni mafuriko, Tabora yazizima

    poleni mzidi sana katika kujitoa ufahamu
  14. P

    Hii ni hatari

    Tumemsikia Leo in moja kati ya Sikh nilizofurahi sana kweki kingunge shujaa ila Man U imenihuzunisha
Back
Top Bottom