[emoji3]
Uongozi wa uvccm kirumba kwa njia za hila umelitoa KANISA la Victory Mission Center Kwa manufaa ya mwenyekiti hili linajulika na ushahidi upo je hii ndio uvccm ya Mgufulu? Nitaleta Habari kamili hivibpude
Jamani mwenzenu sielewi sarakasi zote za watawala maisha bado sioni uafazali jamaa yangu alikuwa akipiga mi 3 sasa ni mi 2 nayo ya kubahatisha kulikoni?
Jamani mwenzenu sielewi sarakasi zote za watawala maisha bado sioni uafazali jamaa yangu alikuwa akipiga mi 3 sasa ni mi 2 NATO ya kubahatisha kulikoni?
Mtoa mada unaharaka sana subiri Ukawa Wanajielewa hawaendi kwa nguvu za upepovkimya kirefu kina mshindo trip hii lowasa atafanya siasa za maana nyie jipangeni mashambulizi yanakuja
Mtoa mada unaharaka sana subiri Ukawa Wanajielewa hawaendi kwa nguvu za upepo kimya kirefu kina mshindo trip hii Lowasa atafanya siasa za maana nyie jipangeni mashambulizi yanakuja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.