Si kaondoka na gari moja tu mkuu yale mengine kayaacha nyumba nazo hajaenda nazowaliobaki watafute vya kwao,atakuwa mchaga huyo
Mze alitoa tu maagizo kiboko ni wale walioteleleza maagizo.Huyo Mzee kiboko
Wachaga hutafuta kwa ajili ya watoto ndio maana wanajibana hadi mwisho halafu wanaacha vyote kwa watotowaliobaki watafute vya kwao,atakuwa mchaga huyo