Je hii ndio UVCCM ya Magufuli Kirumba Mwanza?

pema

Senior Member
Apr 5, 2012
104
17
8867f96e844d6c7267f4e167590e13cf.jpg


46c62915b256328a7965e796e3769f26.jpg


1851e9e8ae105dff55b75b93068c0a77.jpg


75c28fe748b942e3d71c4830b96572d2.jpg


Uongozi wa uvccm kirumba kwa njia za hila umelitoa KANISA la Victory Mission Center Kwa manufaa ya mwenyekiti hili linajulika na ushahidi upo je hii ndio uvccm ya Mgufulu? Nitaleta Habari kamili hivibpude
 
Nimesema huo ni utanguliza najaribu kuonyesha jinsi jitihada zaweshimiwa zilivyo magharibi na mashariki na watu anaowaongoza
 
Nimesema huo ni utanguliza najaribu kuonyesha jinsi jitihada zaweshimiwa zilivyo magharibi na mashariki na watu anaowaongoza
hii ndio habari kamili,!!!

haupo mbali na sifa za kitaaluma za wanasiasa
 
Haahaaa, wana kauli mbiu yao siku hizi, UONGOZI UNAO ACHA ALAMA, alama ya aina gani akili kichwani mwako..
 
Hii ni moja ya sababu Bilioni 10 za kuiweka pembeni ccm halafu kuifutilia mbali. Kimabakiwa na ugaidi tu hiki chama kwa sasa.
 
wakubwa mbona tunalaumu tu. nani anayejua sababu za kanisa kuondolewa au kufukuzwa. kwa nini tunalaumu tu bila kupata chanzo au sababu kuu za wao kufanya hivyo. inawezekana ikawa kodi haijalipiwa au wameamua kubadili matumizi. mtu na mali zake huwezi kumpangia cha kufanya.
 
Back
Top Bottom