Recent content by peke peke

  1. peke peke

    SHAHIDI: Chusa alipanga mauaji ya Bilionea Msuya

    Sio pesa kwa dpp jamaa kipindi hayo mauwaji yanatokea yeye alikuwa mahabusu tena magerza ndio ilimoeleka hospital kwa hiyo jamaa alikuwa chin ya ulinzi wa magerza. Ukisema umtie hatian lazima magereza nayo ilikuwa wapi mpaka mpango wa mauwaji unafanywa huko ndio mana jamaa ameachiwa
  2. peke peke

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Ipo kabisa huto kunywa tena njoo inbox kibiashara zaidi
  3. peke peke

    Jerry Muro: Lema alikuwa Rasta, kazi zake za usiku sijazisahau!

    Mtafuta kick mm nadhan angemjibu manara ndio saiz yake
  4. peke peke

    Bukoba vs Moshi

    Bukoba na bomang'ombe hai labda hapo sawa tulinganishe Sent using Jamii Forums mobile app
  5. peke peke

    Hai: Nyumba ya mwenyekiti wa CCM yachomwa moto

    Sasa hivi polisi wapo nje ya ukumbi wa mkutano halmashauri ya hai wakimsubili mwenyikiti wa halmashauri ya hai akamatwe. Wamekuja hapa baada ya mbinu yao ya kwenda kumkamata usiku wa jana nyumban kwake kushindika
  6. peke peke

    Je, Mbowe alipataje cheti cha Form Four ilhali hajawahi kufanya na kufaulu mtihani huo?

    Mm nilidhan ungeleta usibitisho kwamba mbowe hana cheti kumbe kwa upumbavu wako unatoa upumbavu wako tumboni na kichwan kisha unaamishia jukwaan
  7. peke peke

    TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

    Hivi bashite ni tiss kama ni ndioatakuwa anacheo kikubwa huko seti eeeeeh nawaza kwa kutumia vidole jaman
  8. peke peke

    Naomba kujibiwa maswali haya kuhusu kanisa la KKKT

    Wachungaji wa kwa wakirutheri walibarikiwa mwa 1535 huko ujerumam.. Kanisa hili lilianzishwa na watu ambao walifukuwa wanafumzi wa Martin
  9. peke peke

    Meya wa Ubungo kufungua kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda kutokana na madai ya kuwa na vyeti feki

    Mwenyekiti ufipa anacheti fake? Acha ushabiki toa hoja
  10. peke peke

    Gwajima: Kutakuwa na Ugeni wa mzee kutoka kijiji cha KOROMIJE

    Ningeweka vyet mezan nimkomeshe gwajima
Back
Top Bottom