Recent content by peho

  1. P

    Tanzia: John Fedha wa Bamboo Bar Kinondoni afariki dunia

    Huyu jamaa john fedha alikuwa na matusi kupita maelezo.lakini alifurahisha sana.rest in peace.
  2. P

    Tujikumbushe Kwa Wale Waliosoma Shule ya Msingi Muhimbili

    Walimu waliofundisha shule ya msingi muhimbili tangu 1980.
  3. P

    Mbasha: Gwajima niachie mke wangu (gazeti la uwazi)

    Kama ndie binti anaeshutumiwa kubakwa na imma basi halali yake.ni kitu hicho.msipende kufuga vishawishi ndani ya nyumba.
  4. P

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    Titikoo dar songea.wiki moja hamfiki dar..abiria sharti wabebe unga, sufuria,, mboga
  5. P

    Kuna aliyewahi kuingiza gari kutoka Japan?

    Inategemea umetumia kampuni gani.kama ni be forward ni mwezi mmoja na nusu.
  6. P

    Kuna nini viongozi?

    Super handsome you are right.sema tu nimeona ni vyote vimetokea ktk siku mbili juzi na jana.by the way asante kwa kuchangia.
  7. P

    Kuna nini viongozi?

    Martha mlata mbunge kafiwa na mzazi.zitto kabwe kafiwa na mama.mke wa mh lukuvi kafiwa na baba.asha rose migiro kafiwa na mdogo wake.jamani ni nini tena? Viongozi wote wamefiwa kwa wakati mmoja.poleni sana.
  8. P

    Kambi Rasmi ya Upinzani wasusia Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini na kutoka nje ya Bunge

    Wanaunga mkono hoja hapo hapo wanaomba umeme.vijiji vingi hsvina umeme.
  9. P

    Mahudhurio bunge la jamhuri yanakatisha tamaa

    Ni kweli hasa..je wanapokuwa hawamo mjengoni.je posho inahesabika?
  10. P

    Kuhusu BEFORWARD TZ pls

    Wewe nenda tu.ni wajapan wenyewe wanaaminika sana.ofisi zao zipo karibu na ocean road hosp.lile jengo jipya kuubwa pale floor ya chiini kabisa.
  11. P

    Kilimanjaro Tanzania Music Award (KTMA)2014 Live Updates

    Huyu mpoki hafai kabisa utasemaje hadharani penye wageni wa kila aina kwamba:"mfupi kama mkojo"
  12. P

    Matumizi ya neno ''Mheshimiwa'' kwa viongozi wenye nyadhifa

    Kuna sababu gani ya mbunge kuitwa mheshimiwa, wakati hawaonyeshi heshima bungeni.neno mheshimiwa lina maana kubwa sana.
  13. P

    Vifaru vya jeshi vyawashitua wananchi

    Kumbukeni muungano day.hayo ni maandalizi.kutakuwa hadi na maonyesho ya parachutes.
  14. P

    Sauti za wananchi wa Dar kuhusu tatizo la foleni

    Barbara za pembeni zote ziwe na lami.mfano sinza/kijitonyama zote za pembeni hazijaboreshwa.ni tofauti sana na ilala au temeke.kumzuia mtu kutumia gari lake eti apande daladala si sawa.ifike hatua serikali ijenge flyovers.
  15. P

    Bungeni leo.

    Ifike wakati wananchi tuamke.tunaburuzwa sana.
Back
Top Bottom