Martha mlata mbunge kafiwa na mzazi.zitto kabwe kafiwa na mama.mke wa mh lukuvi kafiwa na baba.asha rose migiro kafiwa na mdogo wake.jamani ni nini tena? Viongozi wote wamefiwa kwa wakati mmoja.poleni sana.
Barbara za pembeni zote ziwe na lami.mfano sinza/kijitonyama zote za pembeni hazijaboreshwa.ni tofauti sana na ilala au temeke.kumzuia mtu kutumia gari lake eti apande daladala si sawa.ifike hatua serikali ijenge flyovers.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.