Sawa pesa umetafuta ww lakini umeangalia warithi wako umewaachia nini ? Mfano labda ww ndo ulikua tegemezi kwao inakuaje? Ufanye msiba wa kifahari ili umfaidishe nani? Baada ya siku kadhaa watoto,mke, wazazi wako wanataabika na wale uliowalisha vizuri msibani hakuna hata mmoja atakae saidi...
Hijja ni lazima kwa kila muislam mwenye kuweza ,
umra sio lazima
Hijja ina wakati maalumu lakin umra haina wakati maalum
Nakumbuka izo tu kama nimekosea kukosoa ruksa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.