Recent content by Pedawa

  1. P

    Unakumbuka nini siku ya kwanza kufanya ngono?

    Mithali 6:32 MTU AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA;AFANYA JAMBO LITAKALOMWANGAMIZA NAFSI YAKE ATAPATA JERAHA NA KUVUNJIWA HESHIMA WALA FEDHEHA YAKE AITAFUTIKA
  2. P

    Unakumbuka nini siku ya kwanza kufanya ngono?

    Mjinga kabisa as bible says
  3. P

    Mtoto Mzuri simuelewi anachotaka

    Anza biashara hata ya kuuza maji inaonekana huna kazi,
  4. P

    Mh.Tundu Lissu tunaomba utuache kwanza!!!Samahani saana

    Nakushauri upambane nae kipindi kikifika kwa kuchukua fomu, lakini kwa kuwa umewatukana hata wapigakura, jiandae kujikana mwenyewe
  5. P

    Gazeti la Nipashe limepotosha vikali

    Tatizo uandishi wa kiutafiti Tz haukubaliki wandishi wetu wanaripoti walichokisikia bila kuchuja waache waandike hivyo hivyo
  6. P

    Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

    Ndio maana kakupa akili na maarifa ya kujua lipi jema na baya
  7. P

    Ekari 5 zenye miti na ekari 4 tupu zauzwa

    Weka namba yako hapa
  8. P

    Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

    Mke mwema hupatikana kwa Mungu tu. hayo yote uliyoyaandika hayana ukweli wowote
  9. P

    Wanawake wanataka hiki kwa mwanaume

    Nahisi shetani anakutamani had umefikia hapa, hakuna mahusiano yaliyofanikiwa kwa ulichokieleza
  10. P

    Wana CCM Wenzangu hiki tunachokifanya hakina Baraka za Mungu

    Ukweli wa hili unao? Think before
  11. P

    Wamemtia hasara kubwa sana Lowassa

    Asee mimi nampongeza ameitikisa ile ngome iliyojipanga kurisishana uongozi kama wa kifalme vile. Hongera Lowasa uwepo wako umesababisha tupate kitu imara
Back
Top Bottom