Itabidi wakae mbali,wakapange au wakajenge hiyo nyumba waachie watoto wakae,kama ni wadogo wakae hata na ndugu,ila kidume kuishi kwenye nyumba ya mjane haipendezi kabisa yaani.
Tafuta daktari wa mifugo hapo mbeya wapo wengi tu, wamfanyie operation ya kumtoa kizazi hiyo ndio komesha hakusumbui tena. Kama upo tayari kwa hilo sema nikupe namba zao.
Kama anakunyima mara kwa mara basi ujue hana hisia na wewe na anachepuka.Ila kama ni mara chache sana inatokea basi huwa amechoka tu,hivyo inabidi ubembeleze kidogo akuonee huruma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.