Recent content by pecial

  1. pecial

    Ujinga wa bodi ya ligi ulianza pale walipopuuza malalamiko ya Simba

    Wew jamaa kama nakuelewa hivi
  2. pecial

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Una mipasho sana we dada, kwani hakuna jukwaa la taarabu ?
  3. pecial

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Haya ndio mambo gan tena yaan Azizi key na Diarra mpka Leo hawaripoti kambini? Hii haikubaliki
  4. pecial

    My take on improving Tanzanian football: Let's stop the time-wasting!

    KISWAHILI basi wengine hatukusoma
  5. pecial

    Ngasa: Kama kutupiwa majini Fei angekuwa chizi

    Kamzidi urefu
  6. pecial

    Kelvin John (Mbape) alimkosea nini coach Adel Amrouch?

    Wewe unaota? Mzize yupi ambaye yupo kwenye top form?
  7. pecial

    Mwaka 2023 magoli ya Simba 80% ni ya penati

    Capo umerudi na user name ingine?
  8. pecial

    Jana nimeenda club kwa mara ya kwanza, nimetoka nduki baada ya kuuziwa maji 4000/=

    Daah, ila wew jamaa nakubali sana unapowaambiaga ukweli walimu wenzako. Mpwayungu Village
  9. pecial

    Aluta continua pacome zizou one day yes!

    Sawa mtabiri
  10. pecial

    Kwa Augustine Okra Yanga SC nawapa "Big Yes" lakini kwa Saimon Msuva nawapa "Big No"

    Msuva amekanusha kuhusishwa na usajili wa team za bongo, Bado ana ndoto za kucheza mbele mpak umri umtupe mkono ndio atarudi kula pension Yana.
  11. pecial

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ndio mana kila siku analalamikia kazi ya ualimu, nenda kwenye jukwaa la habari mchanganyiko ukute mada zake ni lawama tuu kwa walimu wenzake mara mshahara hautoshi, Sasa mshahara wenyewe hauzidi laki tatu halafu laki mbili imeshaliwa na Kanji, hapo kinachofuata ni Sonona Mpwayungu Village
  12. pecial

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huyu jamaa ni mwalimu kweli, ameajiriwa serikalini ila aavyowasema Sasa walimu wenzake kama vile yeye katoboa maisha kumbe anaweka mshahara kwenye betting.
  13. pecial

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mwalimu hyo laki mbili si ndio mshahara wako huo? Inakuwaje umeibetia?
  14. pecial

    Jioni wimbo utakuwa hatumtaki benchika

    Halafu eti umejiweka namba Moja katika list ya wachambuzi jf 2023 kwa mada za namna hii.
Back
Top Bottom