Azam wao wako kibitoz bitoz zaidi.....kimayai mayai....suti na kujiremba kwa wingi.....kidigitali I mean.....ingawa yule dada wa Arusha alikuwa akijitahiditahidi! Ilimradi ITV na Azam TWO wametupa ladha tofautitofauti za coverage ya Uchaguzi...Hongera zao wote kwakweli!
Watu wanazungumzia kujengamadaraja wakati watu wana njaa...kwani watu watakula madaraja...watu wana njaa...kweli si kweli....???? WATU: Kweliiiiiii....