Teteteh...nakumbuka miaka ile mambo ya internet yanaingia miaka ya 1998 nililipishwa buku tano na manyanyaso mnoo ili kufunguliwa yahoo account🙌🏾🙌🏾....dada yule alinifungulia na kunipa psssword sasa wakati natoka nikaisahau password😁🤪, daah mbona dada alitaka kunimezaa........ushamba mbaya
Kampuni ya AI ya Anthropic imesitisha kwa muda upatikanaji wa modeli zake za hali ya juu, Claude Fable 5 na Claude Mythos 5, kufuatia agizo la dharura kutoka serikali ya Marekani lililotolewa kwa misingi ya usalama wa taifa.
Serikali ya Marekani inaeleza kuwa kulikuwa na wasiwasi kuhusu...
Ukimeza dawa halafu ukatapika ndani ya dk 10–15, mara nyingi dawa huwa haijafyonzwa vizuri hivyo unaweza kuhitaji kumeza tena. Ukitapika baada ya dk 30+, kawaida usirudie dozi bila ushauri. Pia hutegemea aina ya dawa na kama kidonge kilitoka kwenye matapishi. Muhimu pata ushauri wa kitaalam
Inategemea mazingira ya mashindano. Kwa Mashindano mafupi (0–400m): Pikipiki inaweza kushinda kwa sababu ina uzito mdogo, hivyo acceleration yake mwanzoni ni kali zaidi.
Mashindano marefu au yenye kona: Gari lina nafasi kubwa ya kushinda, kwa sababu lina:
Matairi manne, hivyo traction na...
Ndugu yangu, hoja yako ina kipande cha ukweli, lakini tafsiri yake inahitaji kunyooshwa kidogo.
Neno "akapumzika" katika Mwanzo 2:1-3 limetafsiriwa kutoka neno la Kiebrania shabat, ambalo maana yake ya msingi si "kuchoka", bali "kuacha" au "kukoma" kazi. Ndipo linapotokea neno "Sabato". Mungu...
Chuo Kikuu cha Kairuki kilijivunia kumpokea Charles Kihampa, Katibu Mtendaji wa Tanzania Commission for Universities (TCU), pamoja na ujumbe wa watumishi wa TCU katika ziara ya heshima. Ziara hiyo ilitoa fursa ya kushuhudia uwekezaji mkubwa wa Chuo katika elimu ya juu, hususan katika programu za...
Mkuu Covax kama sio Yesu alisema hayo maneno basi ni shetani kwani walikuwq wawili tu. Je kuna ushahidi wowote unaothibitisha Shetani ndiye aliwasilisha kisa hichi kwa wanafunzi wa Yesu?
Dhana hii kwamba chanzo cha simulizi la majaribu ni Shetani mwenyewe inakutana na matatizo makubwa ya...
MKuu Covax kama ukiweza fuatilia jinsi vitabu mbalimbali kwenye Biblia ilivyoandikwa mpaka kupatikana kwqke na mapito yake kwenye zama mbalimbali. Hapa tunaandika kwa ufupi sana.
Tuje kwenye hoja mkuu, Kusema Mathayo alitumia vyanzo au mapokeo haimaanishi hata kidogo kwamba hakuwa ameongozwa na...
Mpendwa Covax hili ni swala la kitheologia......Mathayo hakulibuni. Alilipokea kutoka mapokeo ya awali ya kikristo (oral and written traditions) yaliyokuwapo kabla Injili hazijaandikwa, na ambayo Luka pia aliyaijua, lakini Marko na Yohana walichagua kutojumuisha.
1. Injili hazikuwa “nakala” za...
"Aalaan, nimeitafakari nondo yako kwa jicho la unyofu. Wallahi yakhe, umenena! Kujizini nafsi na zinaa ni pacha walioshikana; vyote ni uchafu unaomvua mja haiba yake na kumfanya dhalili.
Sikiliza yakhe, Manani anatukemea:
Tana bahi! Hata sayansi inathibitisha kuwa uchafu huu unaharibu mfumo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.