CCM ilishapoteza uhalali kwa watanzania Chama hakina ushawishi tena CCM ya sasa imekua ipo kwa Mujibu wa Sheria tu CCM leo imefikia mahali inaweza waita wanachama Wake na Wasije Leo CCM imekua na baadhi ya Viongozi Wajinga wasojua Watanzania Wanataka kitu gani! Leo CCM haiwezi kuwatumia Mabalozi...
This is very Bad at All Kailima Alifanya kazi Nzuri sana mwaka 2015 Ila This time around anapuyanga Sana anafanya kazi ya CCM huu Uchaguzi Gani Wa Namna Hii Eeeh? Ni Uchaguzi Gani huu Bias bias Bias kanuni hazifuatwi ACT Wanapaswa kuomba Injunction Ndio njia pekee
This is very sad Story Tuna CCM dhaifu kuliko CCM zote tulizowahi kuzishuhudia
Hii Tume haina Uhuru Wa kufanya jambo Lolote na MKURUGENZI wake Ni Mtu wa Pupa Sana katika kufanya maamuzi
Msajili ana Double Standard Yupo pale kwa Maslahi ya Chama kimoja Hii sio AFYA kwa Demokrasia Yetu hii sio...
CCM na Tume Wanashirikiana Kuhujumu Uchaguzi Huu wa 2025 wanatumia Kodi zetu Vibaya CCM ni waroho wa madaraka wanafanya siasa kwa Msaada wa Dola na Tume Yao Mama Anaenda Kuongea na Maimamu anawacheza Shere na hii ni Dhambi kubwa sana ya Dhulma
Yani Pamoja na kuwa CHADEMA haipo kwenye Uchaguzi...
Inasemekana CCM kwa kushirikiana na Inayoitwa Tume Huru ya Uchaguzi wamepanga CCM kwenye urais ipate 99.9% ya Kura Zote na inasemekana Tume kwenye maboresho haikufuta Marehemu Kama ni kweli kinachosemwq mtaani basi Kailima atakuwa Kakosa Uhalali Pamoja na Makamishna Pamoja na Mwenyekiti wa Tume...
Mpango Wa Israel na Ulichokiandika ni Vitu viwili tofauti Israel Mwisho wake upo karibu sana Pale gaza Wanataka Kuchimba Ben Gulion Canal pale siasa ya uchumi inataka Ku take place Yani kiufupi huyo Israel has nothing to do na hiyo mistari yako ya kibiblia halafu hata wayahudi wanakushangaeni...
ACT na CHAUMMA jisogezeni na Mchukue hints hapa Hii Post Ina maanisha na Sio ya Kisiasa Lakini swali la Kujiuliza Hivi inawezekana Vipi Mbele ya Vyama vingi ya Siasa Ushinde kwa Asilimia 100?? Kwa Akili ya kawaida tu ya kibinadamu hiki Ambacho CCM inakipanga ni Kitu kibaya sana na ni Bomu Kura...
MATOKEO YA urais Kituoni ni geresha Tu hayo Matokeo Hutumwa Tume Moja kwa Moja na Anachokisema Pole pole Sjui kina uhalisia kiasi Gani Ila Mfumo wa kidigitali wa CCM pia unahitaji Nida au Voter Id Number that's what I know
Rushwa na CCM Ni km Mwili na Damu haviwezi tengana Km Wagombea Ubunge Kuna Mmoja Alikua anaimba Wembe ni ule ule Yule Muhindi aloalikwa kuchangia CCM pale Mlimani city Kuna Kiongozi namba 3 na Namba 4 Wanapokea Sana Milungura toka kwa yule Muhindi na Mwenyekiti anazungukwa Hajui na Mtetezi mkuu...
CCM imewapa Nafasi Matajiri Wanunue Wapiga Kura Kama Hiyo GULAMALI Kaenda Kununua Wanyaturu Wa Singida Vijijini kawahonga Elfu hamsini hamsini
Nyakati za Magufuli Hukuti mtu wa Namna hiyo anapewa Nafasi Pamoja na Hela zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.