Huyu asijisumbue hamna cha maana amefanya vunjo tangu amekua mbunge kimsingi tunaenda kumng’oa. Barabara mbovu mno anagalia barabara za immi,kyuu hadi kilema chini zotebovu ngangu na nk vunjo imerud nyuma miaka 10
Mimi binafsi nakwenda kutangaza nia tulete maendeleo kwa wananchi hawa walioshiba...
Ukiangalia yanayoendelea utagundua tatizo la hii nchi ni kutokuwa na dira shirikishi ya pamoja ambayo inatoa mwelekeo wa nchi na wananchi wakaelewa na hii ndio maana kila anayeingia tutamshangilia hasa anapoenda kinyume na mtangulizi wake halafu baada ya muda mbele tunaanza kumkumbuka...
Siku hizi kumekua na watu wa ajabu sana yaani ukisoma comment za watu hapa inaonekana kuna watu wanatamani siku moja hata zidondoke wafurahi na wapate cha kuongea
Miongoni mwa uelekeo wa dunia ni katika mapinduzi makubwa ya matumizi ya mmea wa bangi ambao umeonekana kua na ufanisi mkubwa kwa kutengeneza dawa zenye kuweza kuondoa maumivu makali hususani kwa wagonjwa wa saratani. Lakin licha ya watumizi hayo imeonekana katika nchi mbalimbali mmea huu...
Inakujae kina Freeman wako mahabusu hadi leo, then Watananzia ambao hutetewa nao kwa mambo mengi wako kama hakuna suala hilo? Ukiwa mstari wa mbele jipange.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.