Recent content by Paul02

  1. P

    Marekani Kujitoa WHO ni vita vya kiuchumi na China

    Kweli hi inaweza kua kweli
  2. P

    Ni kweli kujihusisha na ngono kiholela hushusha mwangaza wa maendeleo yako au ni myth?

    Maisha yanavitu vingi ila kufanya mapenzi kunapofusha akili hata utendaji wa kazi mtu anae fanya mapenzi sana anakua mvivu na hayuko makini
  3. P

    Dalili nane za kuonyesha unaishi kwenye malango yaliyofungwa (closed gates) katika ulimwengu wa roho

    Hapa panachangamoto kubwa hizo tabia ni ngumu kuzivua tunarud pale pale kusali sana na kujituma kuvua hizi unaweza jua makosa ukaja ukasahau yaliyo kupata ukarudi tena
  4. P

    Serikali ya kamata kilo Milion 2 za dawa za kulevya kuanzia Januari hadi Desemba 2024

    Mamlaka ya kudhibiti na kupambana Dawa za kulevya nchini, imefanikiwa kukamata Dawa za kulevya zenye uzito wa kilogramu milioni 2 katika kipindi cha Januari hadi Disemba 2024. “Hiki ni kiasi kikubwa cha madawa ya kulevya kuwahi kukamatwa tangu mamlaka hii kuanzishwa, katika dawa zilizokamatwa...
  5. P

    Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

    Hiyo ni balance of nature maisha yapo hivo hivoo huyu anapata huyu anakosa
  6. P

    Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

    Pole sana sio wewe tu unae pitia changamoto Mungu ametupa mitihani ili tuishinde chunguza njia zako je utamzid utakatifu Mungu mimi nilirisk my all things kwa ajili ya Mungu ila siwezi kumkufuru kwa hali ninayo pitia kwa sababu sio mara ya kwanza kupata changamoto naamini nisipo kata tamaa...
  7. P

    Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

    Maisha yako perfect na hakuna kasoro
  8. P

    Nina million 23 nataka Gari

    Gari n kwa ajili ya safari zako na za familia hapo suala la uwekezaje unakua umeshavuka had unanunua gari
  9. P

    Benjamin Natanyahu: kaburi lako halitajaa mchanga

    Hivi ni upofu ama upumbavu wa kushabikia kitu unajua fika hamasi wanajificha kwenye watoto na wamama
  10. P

    Naomba majibu tafadhali watu waminio dini hizi 2 yan ukristo na uislamu

    Miji inayo tumika kwenye ibada pekee yanazungumzwa maneno ya kuomba , toba, na huruma kwa Mungu hiyo ndo inaitwa miji mitakatifu
  11. P

    Je, kweli ni bora kuamini Mungu yupo halafu siku ya mwisho usimkute, kuliko kutoamini halafu ukamkuta?

    Tutajiuliza maswali mengi Kuhusu Mungu ila ukisoma vitabu vya dini vinaongelea busara na hekima za kushinda dunia hii soma vizuri utajifunza mengi nakuona hekima iliyomo hayo mengine yatakuumiza kichwa maana kila dini inazungumza life wisdom tu jinsi ya kuthamini maisha jinsi ya kua muaminifu...
  12. P

    Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

    Pole sana kaka aisee nakumbuka mm bimbukwa wangu aliondoka huku akiwa amezaa na mtu watoto watatu yaani maisha haya yanamambo mengi wewe lea tu watoto wako ila kama kuna nafasi ya kumsamehe mke msamehe muelekeze maisha uishi nae
  13. P

    Baba mkwe hataki nimrudishe mwanae anasema atamkanya kwa mara ya nyingine

    Weka wazi.makosa yake tujue namna.ya kukushauri
  14. P

    Je, Wayahudi hawahitaji kupitia kwa Yesu kuuona ufalme wa Mungu?

    Mungu ni yule yule mafunzo tu yapo tofaut
Back
Top Bottom