Recent content by Paul simon

  1. P

    Mwanza: Mangula azomewa kwa aibu

    Huuu ni mwanzo wa ibada, jiulize ikifika mda mchungaji/padre/kasisi/kuhani/au yeyote mwendesha ibada kutoa baraka za mwisho itakuaje?na uzuri mungu sehemu nying rasilimali mawe,miti,miamba ambayo ktk vitabu vya mungu haijaktazwa kutumia kuwaponda wanyang`anyi na walanguzi pia wezi na...
  2. P

    Yombo KKKT hali si shwari

    yaan hapo mim napigamstar tu maana umemaliza majibu yote,yaan mia mia.
  3. P

    Mungu wangu, kanisa jingine lachomwa moto huko Yombo

    Siku moja mwana wa nazareti atasema yatosha..hapo ndo nuhu atakumbukwa na pia farao atakua mfano mzuri kwao.
  4. P

    Huyu ndiye lowassa.....!!!!!

    mmmmh yaan unamwibia mtu alafu kesho yake unamletea mwanae pipi na biscuits?does it make sense?think big meeen.
  5. P

    Kamati Kuu CHADEMA yawavua Uanachama Madiwani 2 Jiji la Mwanza

    ukienda kinyume na rules of the game lazma upate red card na ndicho kilichowakuta. chama makin hufanya mambo makin kama meli ya mgiriki ukizamia unatoswa baharini hakuna mwenye hisa na chama chama ndo kina hisa kwako ni bora mtu aondoke aache chama safi na hii rule kwa vyama vyote japo vichache...
  6. P

    Maandamano ya wanahabari Sept 11, 2012

    Haki ni kitu cha lazima sio cha kuomba popote dunian usithubutu kuchukua au kubinafsisha haki ya binadamu mwenzio.
  7. P

    Maandamano ya wanahabari Sept 11, 2012

    Nimeipenda sana hii ya kumtimua huyo waizir maana angekua na maana angechukua hatua had sasa hiv kwa walioua mwaandish mwangosi maana kila kitu kipo wazi ukizingatia picha wahusika zipo clear kuliko maelezo tangu magazetin had mitandaoni leo anapeleka miguu jangwani tena wamemheshim wangempiga...
Back
Top Bottom