Wamekariri kwamba mtwara ni kwa ajabu watembee nmebahatika kutembea mikoa mingi sana hapa tz mingi kati ya hiyo uwezi kufanananisha na mtwara
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kujichanganya alieanzisha uzi ni mkenya acheni kuendelea kuchangia hayo mambo sio kweli mm npo hapa mtwara baba yangu mdogo ni mwajiriwa wa dangote hakuna issue kama hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nkusahishe hapo mkataba wa kampuni ya China ulikuwa dola billion 7 sawa na tsh 14 trillions na sasa magufuli imeshuka mpaka dola billion 5 usiongope ndio maana akaamua kuwapa uturuki tenda wachina walizidisha gharama za mradi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.