Recent content by Paul Mackie

  1. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaumwa uko hoi kitandani, mke anaenda Dubai kurefresh, anayekupenda kweli ni baba na mama tu

    Hata kama walikuwa na ugomvi mkubwa kiasi gani,shinda ubaya kwa wema(UTU)
  2. P

    JamiiForums Tanzania Mojawapo ya ukweli usiojulikana sana katika historia ya Ukristo ni huu

    Nisamehe sana katika karne hii unakaa unaandika madhaifu ya dini nyengine jitafakari sana ndugu,je kama ungezaliwa katika ukristo nadhani ungeyaona madhaifu ya uislamu
  3. P

    JamiiForums Tanzania Uhakika ni kuwa hakuna mtu mwenye ushahidi uliosimama kwamba aliwahi kusaidiwa na mganga, mwenyewe anajishuku na kujiuliza kama yeye ndio amefanya

    Uganga ni tiba kwa mwanadamu na vitu vinavyotumika ni miti shamba au tuseme mizizi na jina M/MUNGU linatajwa kama linavyotajwa kwenye nyumba za ibada,Imani za kuja zisitufanye tukadharau asili zetu
  4. P

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa JWTZ ifanye manuva kama ya Marekani kwa Mange Kimambi

    Kweli we ni kizibo😂😂
  5. P

    JamiiForums Tanzania Nashukuru kuzaliwa muislamu

    Mtu anayejivunia dini au kabila lake ni mpumbavu na ni wa kumtenga
  6. P

    JamiiForums Tanzania Wakristo ndio watu pekee wanaoweza kuwavumilia Waislamu?

    😂😂😂
  7. P

    JamiiForums Tanzania Kabila la Wameru ni watu wabinafsi na wakorofi sana

    Kuna jamaa wa kimeru juzi kati nilipitia changamoto za kifedha kwa kweli alinisaidia
  8. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa miaka 11 naomba ushauri

    Huyu jamaa ni zuzu kweli kweli 😂 😂
  9. P

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Nichagueni nisipotekeleza andamaneni mnitoe

    Huo mtego siingii kwenye 😂😂
  10. P

    JamiiForums Tanzania Jinsi Mixx by Yas (Tigo Pesa) walivyonilaza stendi ya basi

    Hiyo mbinu uwa natumia sana
  11. P

    JamiiForums Tanzania Kabila la Wameru ni watu wabinafsi na wakorofi sana

    Wameru wa Kenya na Tz kwenye lugha hawasikilizani
Back
Top Bottom