Recent content by Patrick Maguge

  1. P

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Nyakarungu vipi yaani yote yaliyosemwa hayana analysis kweli? Au una mahaba na sabaya& mwendazake? By the way unateseka ukiwa wapi mura.
  2. P

    Sumaye:- Kama kaamua acha aende, sisi tutaendelea kujenga chama

    Wanasiasa Mungu anawaona.. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. P

    Minyukano mikali CHADEMA; Hali si shwari

    Umejitahidii kwelikweli harafu utabiri wako utatimia lini bwana.
  4. P

    CWT inaenda kinyume na malengo yake, walimu jitoeni

    Bora Mimi nilijitoa mapemaaaa.
  5. P

    Hivi itakuwaje Odinga akishiriki kampeni za kuiangusha CHADEMA mkoani Mara kwa ndugu zake ?

    Kwani wajaluo wanaishi kwenye majimbo mangapi mkoa wa mara. Fanya utafiti kwanza. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. P

    TRA waifungia Sahara Media(Star TV, RFA) kwa kudaiwa Kodi ya Sh. Bilioni 4.5

    Neno kata lina silabi mbili tu yaani Ka - na ta. Ka- ta. Hii cyo siasa. Ka ta. Nasema tena Ka ta. Harafu waandishi na watangazaji waendelee kushabikia siasa na uozo wa wanasiasa. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  7. P

    PENDEKEZO: Hotuba ya MEI MOSI 2017 ijibu maswali yafuatayo:

    Napendekeza Bashite @ Mr zero awe mgeni rasmi.
  8. P

    Watanzania ni watu wa ajabu sana!, Wanamwaminije Gwajima kuliko Rais wao?

    Weka vyeti acha maneno. Tunamwamini aliyekuja na vielelezo na cmdomo kama wako na kulia lia tu.
  9. P

    Rais wa Zanzibar, Dr. Shein: Mkitaka kuzima umeme zimeni, tutawasha vibatari

    Tulizoea. Kubebwa sasa mbereko inakaribia kuchanika
  10. P

    CHADEMA mnarudisha nyuma vita zidi ya madawa ya kulevya!

    We c kada wa chadema, we ni msemaji wa ccm bhana. Kada gani asiejitambua. Acha uongo wa shetani.
  11. P

    Kilio cha wanafunzi wasio na hatia

    Kwanza niwape pole kwa yote , lakini pia niishauri TAHIRISO kuchukua concern hiyo kwa haraka na kufuatilia. Pili nadhani msinge kubari kwenda Field bila mwafaka kupatikana. Tatizo Ni kwamba watu Ni waoga kuchukua maamuzi magumu....
  12. P

    Pokea salamu ndugu Zitto Zuberi Kabwe

    Swali DOGO tu kwa mleta mada hivi kila atakaeandika kwenye ukurasa wake akijitabiria urais anaweza kua rais?
Back
Top Bottom