Neno kata lina silabi mbili tu yaani Ka - na ta. Ka- ta. Hii cyo siasa. Ka ta. Nasema tena Ka ta. Harafu waandishi na watangazaji waendelee kushabikia siasa na uozo wa wanasiasa.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Kwanza niwape pole kwa yote , lakini pia niishauri TAHIRISO kuchukua concern hiyo kwa haraka na kufuatilia. Pili nadhani msinge kubari kwenda Field bila mwafaka kupatikana. Tatizo Ni kwamba watu Ni waoga kuchukua maamuzi magumu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.