Wanajukwaa please kwa heshima na tahadhima naomba kujua kati ya kozi tajwa hapo juu ni ipi nzuri kusoma kwa sasa kwa uzoefu na ujuaji wenu
Asanteeeni nyote
Kwann E="scubby, post: 17975056, member: 388073"]Kwa chuo cha kam akasome medical lab tu..... Akikimbilia clinical medicine ataumia.
Kwann umesema hvyo mkuuu??
Kidogo nn="Ugoro, post: 17934927, member: 76004"]Nimeumia baada ya kuona video inayosambaa mitandaoni,waalimu wanne wakimuadhibu mwanafunzi yule wa secondary.
Waalimu timizeni majukumu yenu shule sio kambi ya jeshi.kutokana na kusambaa kwa video hiyo kwa kiasi kibubwa ni wazi kwamba ajira zenu...
Hawa nacte wanachowaza wao ni pesa 2............ Yaan pamoja na kutoa pesa zetu lkn bado wnafanya kazi kama hatutoi pesa
Ukiwa ni mtanzania wa hali duni huwezi soma kwa kwel maana sekta ya elimu imejaa watu wanaowaza pesa na si kitu kingine
Nina wasiwasi na ww ndg juu ya uwezo wako wa kufikiri.. ..sas umejibu swal au umeleta mada nyingine hpo.. ....kwan kuna mtu hjui kwmba gpa y 3 ni kubwa ??
Ishu kma walitambua ni kubwa kwann waliweka 3.5. . Wamepoteza malengo ya watanzania wengi kwa kukurupuka kwnye maamuzi yao.
Angalia wadogo...
Plz wakuu binafsi nmechaguliwa ordinary diploma ya pharmancy but mm nilitamani sana nisome clinical medicine lkn baada ya kuomba ushauri kwa watu walionitangulia wakanigusia pia medical labaratory ........sasa plz ndg zangu naomba kama mnaweza kunisaidia juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.