patrick kalonga
Member
- Jul 26, 2016
- 25
- 8
Habari ndg zanguni?
kichwa kinajieleza vyema.
kichwa kinajieleza vyema.
Kwa kufundisha wako vizuriDaah pole sana kk lkn vp kuhusu mapindi wanapigisha au mznguo 2?
clinacal medicine unasoma mambo mengi zaid ikiwemo lab,nursing na pharmacy... kazi kwako
Kozi ya clinical medicine inabeba kozi zote za afya....... Lab,pharmacy,nursing zoteClinical medicine anasoma pharmacy?Una unakika?
nasikia sikia kuwa wanasoma pharmacology semister nzimaClinical medicine anasoma pharmacy?Una unakika?
Kozi ya clinical medicine inabeba kozi zote za afya....... Lab,pharmacy,nursing zote
Anaeenda kam anichek kwa hii # (0676 437 776) nimpe more infos na cautionsHabari ndg zanguni??
Nina mdogo wangu ambye amechguliwa diploma ya medical laboratory chuo cha KAM......... Lkn yy antaka clinical medicine
Tumeuliza watu kma wawili hvi wnasema kwa diploma bora abaki medical laboratory
Sasa wapendwa naomba mchango wenu wa mawazo kabla hyu mdgo wngu hjafnya maamuzi na baadae akajutia
Please msaada wenu
Clinical medicine na Pharmacy ni course mbili tofauti,anaesoma CM atasoma pia pharmacology na sio pharmacyKozi ya clinical medicine inabeba kozi zote za afya....... Lab,pharmacy,nursing zote
Pharmacology n module anayoxoma m2 wa pharmacy
Na ndio maana mara nyingi kwenye vituo vidogo vya afya huwa hamna pharmacist,clinical officer hufanya kazi hiyo