Recent content by Patrick Elias

  1. P

    Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

    Pia Kuna magimbi ya muhindi Mudy hayakutaka mbumbumbu mfuzu
  2. P

    Bilionea adai 90% ya Warusi hawaungi mkono vita inayoendelea Ukraine

    Ila kweli mkuu, hakuna haja ya watu kuuwawa namna hiyo, hata kule mashariki ya kati inabidi Palestina ampe Israel anachotaka ili amani ipatikane, Yemen wampe saudia anachotaka ili utulivu uwepo.
  3. P

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Russia keshaufyata huko. Kashtukia hatapigana na Ukraine bali atapigana na boss wa dunia US kwa niaba ya Ukraine.
  4. P

    Rais Samia: Hapa Mara tutaurudisha mchakamchaka wa awamu iliyopita kwa sababu Miradi imezorota sana

    Opportunity Cost yaani wewe Katajwa Magufuli tu kwako imekuwa shida ndio hivyo Sasa Rais keshakiri mchakamchaka wa Magufuli ndo dawa ya mafisadi.
  5. P

    Nahitaji mchumba baadae awe mama watoto

    Kwa hiyo wadada hamtaki kuolewa Sasa eti! Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
  6. P

    Nahitaji Mume

    We naye! Amesema awe mkristo.
  7. P

    Nahitaji mchumba baadae awe mama watoto

    Pengine ukawa mzuri kwangu ingawa wewe unajiona mbaya, Njoo PM tuyajenge, sawa ee.
  8. P

    Nahitaji mchumba baadae awe mama watoto

    Rangi yoyote lakin awe mzuri. Ila sasa asiwe mweusi tii kama wasudan
  9. P

    Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

    Hii reli hatuwajengei wacongo, warundi wala wazambia bali tunajijengea sisi wenyewe watanzania, na watanzania wengi wanaishi dar na kanda ya ziwa na ndo maana wakapewa kipaumbele, tunataka watanzania wasafiri kwa bei nafuu na haraka, tunataka watanzania wanunue bidhaa kwa bei nafuu ndo maana...
  10. P

    Nahitaji mchumba baadae awe mama watoto

    Awe anayependa kupendwa siyo anayependa kuhongwa. Akiwa Mwanza itapendeza zaidi. Niko serious sana.
  11. P

    Car4Sale Noah inauzwa

    6.5 Sent using Jamii Forums mobile app
  12. P

    Car4Sale Noah inauzwa

    Ila kwa katavi?! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. P

    Car4Sale Noah inauzwa

    Gari iko vizuri, Ni kukagua, kulipia na kuwasha gari kuondoka. Bei 7000000 maongezi yapo, gari iko Mwanza Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom