Recent content by patience is all about

  1. P

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aongea na RC Makonda LIVE kwa simu akiwa mkutanoni Mbezi, Dar

    k kabisa maana upendi ujinga!!!!hahahahaha
  2. P

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli anajua CRDB na NMB ni benki za umma?

    ndugu nashangaa sana kama utaeza invest mahali hela yako even 1% halafu ukafurahia ife wakati unajua una kamkono hapo.Du akili au matope?
  3. P

    JamiiForums Tanzania Tuache Siasa ktk Uchumi: Wachumi tuelimisheni Dhambi ya Fixed Deposit na Faida ya Fedha Kukaa tu BoT

    well said hapa ni kama maji na mafuta .
  4. P

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Anthony Lusekelo awapa onyo CHADEMA

    maneno yako si ya bbusara hata kama ni mahaba niue.Hakuna kizuri kisicho na kasoro yeye pia ana mapungufu yake hivyo wanaokosoa ndo wanaona.we kama unamwona mzuri mkeo au mmeo usilazimishe mwengine kumwona hivyo.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Anthony Lusekelo awapa onyo CHADEMA

    mwe mt Bwana amuhurumie tu.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Anthony Lusekelo awapa onyo CHADEMA

    hahahah et hongera wakati unajua kabisa kanisani si pa siasa na kila mtu ana uhuru wake hivyo hata kama akiwaambia nini kila mtu atachanganya na za kwake maana si lazima uchukue za kuambiwa.mtahema sana kipindi hiki kutoa elimu hata kusiko takiwa kama chama kimekufa mihemko na hekaheka za nini...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Mtikisiko wa Viwanda: Mapato ya Kampuni ya Bia ya TBL yashuka

    ukiwemo nini? maana mlevi kamwe hakubaligi kalewa na hakawii kumwona mwenzie kalewa.Sio kila mtu mpiga dili fungukeni wapi mmekosea.maana usilolijua ni usiku wa giza....so better keep quite........
  8. P

    JamiiForums Tanzania Mtikisiko wa Viwanda: Mapato ya Kampuni ya Bia ya TBL yashuka

    hahahahah :kibwagizo chenyewe sasa :tilililili tilililili ............mbele kwa mbele atakaeanguka shauri yake
  9. P

    JamiiForums Tanzania Magufuli ni zaidi ya jembe yeye ni trekta kabisa, zawadi kubwa kutoka kwa Mungu

    r udi kalale ukimaliza kuota uje
  10. P

    JamiiForums Tanzania Rais wetu Magufuli, TRA wamefungua fixed account kwa faida unawafukuza kazi? Tufumbe macho tusali!

    Jamani kuweka hela fixed sio dhambi mbaya ni faida inaenda kwa nani na ni risk gani itakuwepo kipindi hela ziko fixed?So hapo kosa si kuweka fixed kosa ni nani anakula faida basi .
  11. P

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Hali ya nchi kiuchumi inazidi kuwa mbaya zaidi, viwanda vinafungwa

    hahahaha haya ma great thinker nyie wa JF sisi wa fb tukae kimy but remember its a matter of time !!!
  12. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mke anataka mtoto, mimi sina uwezo huo

    God is above all.Only faith.
  13. P

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Hali ya nchi kiuchumi inazidi kuwa mbaya zaidi, viwanda vinafungwa

    watu kama nyie kuwepo sishangailakini waswahili walisema asiesikia la mkuu.................na usipoziba ufa...........sidhani kama walikua wajinga.na dalili za mvua ni mawingu.leo kwake kesho........... it is the matter of time!!!!!!!
  14. P

    JamiiForums Tanzania Fast Jet kusitisha safari za Dar-Entebe, Dar-Nairobi, Kilimanjaro-Nairobi na Kilimanjaro-Entebe

    ndugu mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Hawa watu si wajinga kuachia route na vilevile walikua the cheapest ever lakini bado wanaface challenge sembuse ndege yetu pendwa kwa bei zake zile zitasustain?
  15. P

    JamiiForums Tanzania Msafara wa Magufuli ni kufuru, hauakisi ubanaji wa Matumizi

    ha hao hawahusiki jibu tuhuma usifunike mada kwa aibu maana huna la kutetea shame!!!
Back
Top Bottom