Recent content by Patchu

  1. P

    Balali yuko HAI - He is not dead

    Kusikia Balali yuko hai nahisi kizunguzungu, hivi kama ni kweli yu hai ndiyo nini? hii nchi ni tanzania ama? tunaongozwa na watu wasio serious ? fanyeni utafiti wa kina kupata ukweli wake, ili ikidhihirika ni kweli, du! viongozi wa nchi wapewe nishani kwa...
  2. P

    Balali yuko HAI - He is not dead

    Hi kali, nahisi kizunguzungu, fanyeni utafiti wa kina kupata ukweli. ikidhihirika ni kweli! watakimbia hii nchi kama yule jamaa wa kisiwa cha Anzuani.
  3. P

    CHADEMA yaandaa mkakati mzito kudai Katiba mpya

    Ikibidi katiba mpya ni lazima, watanzania walio wengi wameamka, waliolala ni wachache. Walioamka mungu anawaona na watafanikiwa kwa kutaka katiba, hakuna kulala mpaka kieleweke.
  4. P

    Zitto apewa mpini

    pamoja na kumsamehe mh. zito bado wamuwekee muda wa kumchunguza huyu dogo ni hatari sana kwa chama ni ndumila kuwili sana huyu .
Back
Top Bottom