Huwezi sukuma gari ukiwa ndani ya gari... magufuli hata afanyeje yupo ndani yachungu chenye ukoko uliochacha naunanuka hivyo nayy lazima anuke tuu haata atumie oafyumu ya aina gani
Huwezi sukuma gari ukiwa ndani ya gari... magufuli hata afanyeje yupo ndani yachungu chenye ukoko uliochacha naunanuka hivyo nayy lazima anuke tuu haata atumie oafyumu ya aina gani
Nape hana lugha yakisiasa kwasabu muda wote anawaza uchafu akilin mwake,hajawahi nadi sera zachama chake toka kampeni zimeanza yy niuchafu wamdomo tu, nasidhani kama ataishi kwa amani baada ya octb25 kwwsabu atakuwa mpayukaji wachama kikuu chaupinzani. Iringa asilimia miamoja alimsema Lowasa...
Mdomo wanape sijawahi kuusikia ukitoa kauli yenye kuashiria ukomavu wa kisiasa, maneno yake yote ni vivumishi vikurupushi vya matusi, ama kweli uwezo wake wakufikiri kisiasa upo mochwari
Hali ya kisiasa inayoendelea nchini inajidhihirizha wazi kwamba ccm wako taabani kisiasa na wanachokifanya ni kujikaza kisabuni, sasa niwazi maandalizi yakuletwa kwa magari mengi yakipolisi niushahidi tosha kwamba ccm wataponea huruma za polisi ili wafunge GOLI LAO LAMKONO.. Lakin bila hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.