Ndugu, sikweli kwamba dini, inachangia kufeli,mfano umetaja hijabu,kwa waislamu ni lazima kuvaaa,pia hakuna uhusiano Wa kufeli na hijabu,,, Mwanafunzi yeyote akiwa anafuata mafundisho ya dini,hawezi feli,mfano,kuna maalifa ya uislam,baibo noleji,nk huyu mwanafunzi atafaulu masomo haya kama kweli...