Unguja waongoza kwa elimu duni

Nimeskitishwa sana na shule top ten 10 VILAZ,A Majority kutoka Tanzania Zanzibar hasa UNGUJA.

Zanzibar inasadikika kuwa na wakazi wachache sana kutokana na takwimu na maelezp ya Mbunge Ally Kessy!! Nimategemeo yangu kuwa ktk National Ranking wangeongoza katika mitihani yote (iwe std 7, Form 4 au Form 6) kutokana na ratio ndogo kati ya MWL na mwanafunzi au kati ya kitabu na Mwanfunzi. Maajabu, ni vice versa, baada ya Matokeo ya kidato cha sita kutangazwa majuzi Unguja ndio vinala wa kuzalisha vilaz,a Tz, Tazama hapa.


Shule 10 zilizofanya vibaya katika mitihani ya mwisho ni:
  1. Shule ya Mpendae (Unguja) yenye wanafunzi 100 [ya mwisho kabisa]
  2. Ben Bella (Unguja) yenye wanafunzi 101
  3. Tumekuja ya Unguja (178)
  4. Green Bird Boys ya Kilimanjaro (37)
  5. Jang’ombe ya Unguja (46)
  6. Kiembesamaki ya Unguja (123)
  7. Tanzania Adventist ya Arusha (65)
  8. Al-ahsan Girls ya Unguja (47)
  9. Azania ya Dar es Salaam (235)
  10. Lumumba ya Unguja yenye wanafunzi 137
Ushauri:
1. Itikadi za dini yoyote ile zizuiwe ktk mfumo wowote ule wa Elimu; mf. Hijabu zipigwe marufuku, suluali kwa wasichana marufuku.Wanafunzi Wanabobea kwenye dini kuliko Elimu dunia.
2. Viboko virudishwe kwa kasi zaidi, tena kila adhabu vianzie 3 na kuendelea. Watoto wana viburi balaa.
3. Walimu wote wapya na walio kazini waendelezwe JKT
4. Walimu wawe watu walio faulu SIYO walio feli. Mshahara wa kuanzia 1M unahitajika kwa hili kuvutia walio faulu.
5. Simu ziwe marufuku either Nyumbani au shuleni kwa mwanafunzi.
6. Shule zote ziwe za boarding, tena kwa kubadilishana na kuchangamana, mf. Kagera aende Mara, na wa Mara aende Kilimanjaro na wa Kilimanjaro aende Kagera. Shule za kata baada ya miaka 20 ijayo zitatuletea ukabila usio kuwa na kipimo!!
7. Walimu wanao jihusisha kimapenzi na wanafunzi wao , wafukuzwe kazi na kushitakiwa.
8. Neno Tuition ningelipenda li ingie Makumbusho hapa Tanzania.
9. Kujaza Walimu -wake wa wakubwa Mjini ikomeshwe!! Wengi wao ni vilaz,a hivyo watoto pia kuwa vila,za.
10. Wazazi tuzuie watoto kuangalia TV kila wakati (Movie za JB, Wema, Kifilipino, Burecelee, Rambo, nk).
11. Wazazi, tuache ulimbukeni, eti mtoto ana miaka 3; simu ikipigwa anapewa "msalimie/ongea" na bibi yako.
12. Wazazi tuwakague watoto madaftari na tuige ziara za kushitukiza kama za Mhe: Dr. JMP za kushitukiza kwa watoto mashuleni, wengi hawafiki-huishia magetoni kwa baodaboda!!
13. Idara ya ukaguzi nyanja zote iimarishwe. Wakaguzi wawe walio faulu vzr tu shuleni. Pia wasifanye ziara ile kama dili kwao (kupiga hela za Allowance na kuomba rushwa kwa Walimu wakuu na Ma Headmasters).
14. Prof. Ndalichako kaza buti, tumbua daily!! Vichwa vya watu vina kutu-haviskii.
Ni hayo tu kwa leo.

Umeanza Vizuri Lakini Hukuridhika Mpaka Utie Pumba Zako!!

Nanukuu "Hijabu zipigwe marufuku, suluali kwa wasichana marufuku. Wanafunzi Wanabobea kwenye dini kuliko Elimu dunia" Mwisho Wa Kunukuu.

Hivi Mavazi Yana Uhusiano Gani Na Matokeo Ya Mtu?? Au tu uoneshe Udini wako Dhidi Ya Jamii ya Kizanzibari? Huo Ni Ujinga, Kama Hujui Kinachoidhuru Unguja hebu sema uambiwe.

Unguja inauliwa na Na CHUKI ZA KISIASA na wala si Jengine.

Wameingiza Siasa za Kikada Kuwa Ziongoze Taasisi ya Elimu badala ya Taaluma.

Katika Suluhisho lako Hukuiongelea Point hii ya Siasa, hii inaonesha wazi kuwa huna uelewa na Wazanzibari.

Sasa suluhisho Pekee La Elimu ya Zanzibar/Unguja ni "KUTENGANISHA CHUKI ZA KISIASA NA ELIMU"
Wawape Watendaji Wenye Sifa Waongoze Taasisi hii ya Elimu badala ya Kuwapa Makada wasiokuwa na Uwezo wowote.
 
Sidhani kama St. Augustino of Hippo alikuwa amesoma, japo alikuwa na maona hayo. Pia kila kiyu kina kiwango chake, NOT too much of it!!
Tatizo hapa ni kuwa watoto wanatumia muda mwingi sana madrasa kuliko Tuition!!

Uzi huu haulengi dini flani!! Laa asha!! Uzi huu unajikita ktk kuboresha Elimu ya Tz kwa ujumla bila kujali misingi ya dini yoyote ile.

Halafu Wewe Tatizo lako Huujui Uislamu Halafu Unataka Kuucomment Uislamu!!

Mara Nyingi Munatumia "MADRASA" kama ni "WEAKNESS POINT" dhidi ya Waislamu.

Na unadai Kuwa Wazanzibari Wanatumia Muda Mwingi Madrasa Kuliko Shule!! Je Hapo Dar es Salaam unapoishi Hapana Waislamu?? Je Ni wote wanakwenda Madrasa??

Sasa ukweli ni Kwamba Asilimia 99.99% ya Wazanzibari ni Waislamu, Lakini Asilimia 85% hawaendi Madrasa wala Hawakujui hasa!! ni Asilimia isiyozidi 14 ndiyo wanaokwenda Madrsa nikiwemo mimi na wala sijafeli na Chuo nategemea Kuingia mwaka huu.

Kwahiyo si Kila Muislamu Kuwa Anakwenda Madrassa, Wengi wao ni Waislamu Majina tu hawana ishu na Madrasa ni Kama Wapagani Kama unavyowaona hapo Bongo.
Usidharau Dini ya Wenzio.

Tatizo ni Siasa Kwa Zanzibar na wala si Madrassa.
 
No research no right to say,, Ndugu Fanya utafiti utajua kwa nini wanafeli, hapa, mtoto anayeenda madrasa akijitambua hawezi feli ,ila kama hajitambui,pia unapitafuta sababu ya kufeli not depend to one factor,kuna sababu nyingi zinazowafanya wafeli,,hata huku bara zipo,shule pure Islamic mbona. Hawafeli?why Zanzibari? Fanya utafiti utajua sababu zingine
Mkuu Tatizo pekee ni Kuwa Taasisi ya Elimu inaendeshwa Kikada na Watendaji Wabovu Wengi Wao Wana Vijidiploma Vya Miaka ya 70 na 80 ambao Ndiyo Maafisa Wa Elimu Zanzibar.

Pindipo itaondoka Siasa hii ya Uunguja na Upemba basi Tatizo litaobdoka.
 
Niko kwenye taasisi za tafiti, sema kingine.
Sasa Wewe Upo Nje ya Zanzibar Halafu Unaleta Conclusion ya Tafiti ya Zanzibar si Maajabu hayo.

Kama Kweli Wewe Ni Mtafiti Basi Nenda Zanzibar Hala Tembea Mikoa Yote 10 ya Zanzibar Ufanye Tafiti Sahihi ili Utuletee Majibu Hapa! Siyo Ufanye "TAFITI ZA KEYBOARD" ukiwa Umejifungia Ndani Halafu Unaita Utafiti duh!!
Mkuu usiitie Aibu Fani Muhimu na Nyeti ya Utafiti kwa Utafiti huo.
 
Kadhia hii SMZ kimyaa sijui zigo la aibu.
Ndiyo! Sasa Wanapanga Pa Kujitoa Kimasomaso Wadai Maalim Seif Sharif Kawafelisha Kwasababu Hakuna Watu Majuha Duniani Kama Viongozi/Makada Wa Serikali Ya Zanzibar.

Hapo Baada Ya Kutafuta Suluhu, Wao Wataangalia Kwanini ""WAPEMBA HAWAMO KATIKA 10 MBOVU?""
 
Sasa Wewe Upo Nje ya Zanzibar Halafu Unaleta Conclusion ya Tafiti ya Zanzibar si Maajabu hayo.

Kama Kweli Wewe Ni Mtafiti Basi Nenda Zanzibar Hala Tembea Mikoa Yote 10 ya Zanzibar Ufanye Tafiti Sahihi ili Utuletee Majibu Hapa! Siyo Ufanye "TAFITI ZA KEYBOARD" ukiwa Umejifungia Ndani Halafu Unaita Utafiti duh!!
Mkuu usiitie Aibu Fani Muhimu na Nyeti ya Utafiti kwa Utafiti huo.
Matatizo ya Nchi za AFRICA yanafanana ktk Elimu, haitaji tumu kupima la damu kupima Malaria.
Ww jikite kwenye Mada, kipi siyo sahihi kuliko kuropoka hapa!!
 
Halafu Wewe Tatizo lako Huujui Uislamu Halafu Unataka Kuucomment Uislamu!!

Mara Nyingi Munatumia "MADRASA" kama ni "WEAKNESS POINT" dhidi ya Waislamu.

Na unadai Kuwa Wazanzibari Wanatumia Muda Mwingi Madrasa Kuliko Shule!! Je Hapo Dar es Salaam unapoishi Hapana Waislamu?? Je Ni wote wanakwenda Madrasa??

Sasa ukweli ni Kwamba Asilimia 99.99% ya Wazanzibari ni Waislamu, Lakini Asilimia 85% hawaendi Madrasa wala Hawakujui hasa!! ni Asilimia isiyozidi 14 ndiyo wanaokwenda Madrsa nikiwemo mimi na wala sijafeli na Chuo nategemea Kuingia mwaka huu.

Kwahiyo si Kila Muislamu Kuwa Anakwenda Madrassa, Wengi wao ni Waislamu Majina tu hawana ishu na Madrasa ni Kama Wapagani Kama unavyowaona hapo Bongo.
Usidharau Dini ya Wenzio.

Tatizo ni Siasa Kwa Zanzibar na wala si Madrassa.
Usidhani hapa Tz bara ni Wakristo tu, laa Asha! Nimchanganyiko tena mkubwa tu!!
Kwa Tanzania hakuna familia ya kikiristo 100%, bila kuwa na uncle, aunt, grandfather or grandmother, nk Muislam!! Mm binafsi nina mama zangu walio olewa na Waislam!! Hivyo nina wadogo zangu Waislam.

Pia ktk sababu hapo, hiyo ni 1 Kati ya 13. Nadhani ungejikita hasa mawazo yako ktk mada badala ya kutoa Mapovu ili halisababu zimeelezwa kutoka no 1 hadi 13. Sijui hiyo 1 ndio imekuuma ua?
 
Itikadi za dini ndizo zinazowaharibu kule visiwani hata ufanye nini watu hawapendi kabisa kusoma ila muda wa kwenda madrasah sasa ukifika mzazi anakuwa mkali sana.
 
Umeanza Vizuri Lakini Hukuridhika Mpaka Utie Pumba Zako!!

Nanukuu "Hijabu zipigwe marufuku, suluali kwa wasichana marufuku. Wanafunzi Wanabobea kwenye dini kuliko Elimu dunia" Mwisho Wa Kunukuu.

Hivi Mavazi Yana Uhusiano Gani Na Matokeo Ya Mtu?? Au tu uoneshe Udini wako Dhidi Ya Jamii ya Kizanzibari? Huo Ni Ujinga, Kama Hujui Kinachoidhuru Unguja hebu sema uambiwe.

Unguja inauliwa na Na CHUKI ZA KISIASA na wala si Jengine.

Wameingiza Siasa za Kikada Kuwa Ziongoze Taasisi ya Elimu badala ya Taaluma.

Katika Suluhisho lako Hukuiongelea Point hii ya Siasa, hii inaonesha wazi kuwa huna uelewa na Wazanzibari.

Sasa suluhisho Pekee La Elimu ya Zanzibar/Unguja ni "KUTENGANISHA CHUKI ZA KISIASA NA ELIMU"
Wawape Watendaji Wenye Sifa Waongoze Taasisi hii ya Elimu badala ya Kuwapa Makada wasiokuwa na Uwezo wowote.
Suluhu ya tatizo la Elimu Zanzibar siyo SIASA wala nn!! Hata Hotuba za Mhe: Duni nilikuwa sizielewi kabisaaa, licha yy kuwa na Afya tele lakini E. Lowaasa alikuwa mgonjwa!!! Tatizo ni Elimu na mfumo wake!!

Ukikuta DEMU kavaa "kimini," Kikuku, "Transparent clothes-kavaa night dress mchana" tafsiri ya kwanza kwa muoji ni ipi? Kijana kavaa Kata "K" mtizamo wako kwake ni upi?

Mada SIYO madrasa wala Hijabu!! Mada jadili tatizo la Uduni wa Elimu Unguja. Mm nimetoa ushauri au mtizamo wangu 1-14. Bora ujikite ktk sababu zote (ktk ushauri) badala ya kubisha ili uonekane bingwa wakati hakuna cha maana ndani yake.
 
Usidhani hapa Tz bara ni Wakristo tu, laa Asha! Nimchanganyiko tena mkubwa tu!!
Kwa Tanzania hakuna familia ya kikiristo 100%, bila kuwa na uncle, aunt, grandfather or grandmother, nk Muislam!! Mm binafsi nina mama zangu walio olewa na Waislam!! Hivyo nina wadogo zangu Waislam.

Pia ktk sababu hapo, hiyo ni 1 Kati ya 13. Nadhani ungejikita hasa mawazo yako ktk mada badala ya kutoa Mapovu ili halisababu zimeelezwa kutoka no 1 hadi 13. Sijui hiyo 1 ndio imekuuma ua?
Ndiyo! Hiyo Moja (1) imenigusa Kwasababu Vazi halina Uhusiano na Kufaulu au Kufeli Kwa Mtu, Nadhani Mtu Yeyote Atakae eka itikadi Mbele Na Kuangalia Uhalisia Basi Hawezi Sema Mbele Za Watu Kuwa eti "KUVAA HIJAB KUNAMFELISHA MTU" hili kweli ni wazo la Great thinker??
Nyengine Kati ya Hizo Sizicomment Kwasababu Mimi Nimuelewa na Ninajua Kuwa Zinaathiri Sekta ya Elimu Kwa Njia Moja ama Nyengine Na Ninakuunga Mkono Kwa Hilo wala sitokufanyia Wivu.

Mkuu Unakataa tu, Lakini Hiyo Point number 1 umebugi sana! Kubali tu Kuwa Hapo umeonesha hisia Zako Za Kidini tu, na wala hukukusudia Kutatua Tatizo.
 
Nimeskitishwa sana na shule top ten 10 VILAZ,A Majority kutoka Tanzania Zanzibar hasa UNGUJA.

Zanzibar inasadikika kuwa na wakazi wachache sana kutokana na takwimu na maelezp ya Mbunge Ally Kessy!! Nimategemeo yangu kuwa ktk National Ranking wangeongoza katika mitihani yote (iwe std 7, Form 4 au Form 6) kutokana na ratio ndogo kati ya MWL na mwanafunzi au kati ya kitabu na Mwanfunzi. Maajabu, ni vice versa, baada ya Matokeo ya kidato cha sita kutangazwa majuzi Unguja ndio vinala wa kuzalisha vilaz,a Tz, Tazama hapa.


Shule 10 zilizofanya vibaya katika mitihani ya mwisho ni:
  1. Shule ya Mpendae (Unguja) yenye wanafunzi 100 [ya mwisho kabisa]
  2. Ben Bella (Unguja) yenye wanafunzi 101
  3. Tumekuja ya Unguja (178)
  4. Green Bird Boys ya Kilimanjaro (37)
  5. Jang’ombe ya Unguja (46)
  6. Kiembesamaki ya Unguja (123)
  7. Tanzania Adventist ya Arusha (65)
  8. Al-ahsan Girls ya Unguja (47)
  9. Azania ya Dar es Salaam (235)
  10. Lumumba ya Unguja yenye wanafunzi 137
Ushauri:
1. Itikadi za dini yoyote ile zizuiwe ktk mfumo wowote ule wa Elimu; mf. Hijabu zipigwe marufuku, suluali kwa wasichana marufuku.Wanafunzi Wanabobea kwenye dini kuliko Elimu dunia.
2. Viboko virudishwe kwa kasi zaidi, tena kila adhabu vianzie 3 na kuendelea. Watoto wana viburi balaa.
3. Walimu wote wapya na walio kazini waendelezwe JKT
4. Walimu wawe watu walio faulu SIYO walio feli. Mshahara wa kuanzia 1M unahitajika kwa hili kuvutia walio faulu.
5. Simu ziwe marufuku either Nyumbani au shuleni kwa mwanafunzi.
6. Shule zote ziwe za boarding, tena kwa kubadilishana na kuchangamana, mf. Kagera aende Mara, na wa Mara aende Kilimanjaro na wa Kilimanjaro aende Kagera. Shule za kata baada ya miaka 20 ijayo zitatuletea ukabila usio kuwa na kipimo!!
7. Walimu wanao jihusisha kimapenzi na wanafunzi wao , wafukuzwe kazi na kushitakiwa.
8. Neno Tuition ningelipenda li ingie Makumbusho hapa Tanzania.
9. Kujaza Walimu -wake wa wakubwa Mjini ikomeshwe!! Wengi wao ni vilaz,a hivyo watoto pia kuwa vila,za.
10. Wazazi tuzuie watoto kuangalia TV kila wakati (Movie za JB, Wema, Kifilipino, Burecelee, Rambo, nk).
11. Wazazi, tuache ulimbukeni, eti mtoto ana miaka 3; simu ikipigwa anapewa "msalimie/ongea" na bibi yako.
12. Wazazi tuwakague watoto madaftari na tuige ziara za kushitukiza kama za Mhe: Dr. JMP za kushitukiza kwa watoto mashuleni, wengi hawafiki-huishia magetoni kwa baodaboda!!
13. Idara ya ukaguzi nyanja zote iimarishwe. Wakaguzi wawe walio faulu vzr tu shuleni. Pia wasifanye ziara ile kama dili kwao (kupiga hela za Allowance na kuomba rushwa kwa Walimu wakuu na Ma Headmasters).
14. Prof. Ndalichako kaza buti, tumbua daily!! Vichwa vya watu vina kutu-haviskii.
Ni hayo tu kwa leo.
BRN unguja.
 
Suluhu ya tatizo la Elimu Zanzibar siyo SIASA wala nn!! Hata Hotuba za Mhe: Duni nilikuwa sizielewi kabisaaa, licha yy kuwa na Afya tele lakini E. Lowaasa alikuwa mgonjwa!!! Tatizo ni Elimu na mfumo wake!!

Ukikuta DEMU kavaa "kimini," Kikuku, "Transparent clothes-kavaa night dress mchana" tafsiri ya kwanza kwa muoji ni ipi? Kijana kavaa Kata "K" mtizamo wako kwake ni upi?

Mada SIYO madrasa wala Hijabu!! Mada jadili tatizo la Uduni wa Elimu Unguja. Mm nimetoa ushauri au mtizamo wangu 1-14. Bora ujikite ktk sababu zote (ktk ushauri) badala ya kubisha ili uonekane bingwa wakati hakuna cha maana ndani yake.
Sasa Mtafiti Gani wewe usiejua Uhusiano Wa SIASA ZA KIKADA na Ufelishaji Wa Wanafunzi??

Hebu Waulize Wanafunzi Unaowahamu Wanaosoma SUZA au Katika TAASISI yoyote hile Zanzibar Wakupe Ukweli!!
 
Matatizo ya Nchi za AFRICA yanafanana ktk Elimu, haitaji tumu kupima la damu kupima Malaria.
Ww jikite kwenye Mada, kipi siyo sahihi kuliko kuropoka hapa!!
Tatizo la Mada Yako Umechanganya Upotoshaji na Ukweli.
 
Ndiyo! Hiyo Moja (1) imenigusa Kwasababu Vazi halina Uhusiano na Kufaulu au Kufeli Kwa Mtu, Nadhani Mtu Yeyote Atakae eka itikadi Mbele Na Kuangalia Uhalisia Basi Hawezi Sema Mbele Za Watu Kuwa eti "KUVAA HIJAB KUNAMFELISHA MTU" hili kweli ni wazo la Great thinker??
Nyengine Kati ya Hizo Sizicomment Kwasababu Mimi Nimuelewa na Ninajua Kuwa Zinaathiri Sekta ya Elimu Kwa Njia Moja ama Nyengine Na Ninakuunga Mkono Kwa Hilo wala sitokufanyia Wivu.

Mkuu Unakataa tu, Lakini Hiyo Point number 1 umebugi sana! Kubali tu Kuwa Hapo umeonesha hisia Zako Za Kidini tu, na wala hukukusudia Kutatua Tatizo.
Kwa mf. Tanzania bara SAUT toka 2008 kuna dressing Code huwezi kwenda pale na kimini chako, na Urasi wako eti msomi; CBE -2015 ni dress code kwenda mbele. Je tukiruhusu kila dini kuja na vazi lake itakuweje? Mf. Wapagani, Wahindi, Walokole wale wa misimamo mikali-nguo zao nyekundu (hawapandi magari, hawatumii dawa za hosp, nk) je itakuwa shule au Kitchen Party?
Pia vazi hilo lilikuwa tu mfano, ila si msumari!! Nadhani unesema sababu tajwa hapo 13 zinachangia au hazichangii kuliko kuja hapa na misimamo ya ajabu ajabu!!

Hata Primary tuna ambiwa raba lazima iwe nyeusi! Wao unadhani ni wajinga?
 
Back
Top Bottom