Recent content by password10

  1. P

    HP Desktop Inauzwa

    Nahitaji CPU (mashine tu) unauzaje?
  2. P

    Be Forward Tanzania as a Clearing Agent

    Apart fro being expensive BEFORWARD Agents ni wasumbufu mno, utapata delays zisizokua na msingi so jiandae kulipa delay charges. Wako wafanyakazi wengi pale but everyone is busy for nothing, hao wanao wasifia watakua ni wafanyakazi wao hapo tu kama una hela ya ziada watumie alafu utakuja hapa...
  3. P

    Samsung note 3

    Nauza samsung note 3 mpya imetumika mwezi mmoja sh. 650, 000/= maelewano yapo
  4. P

    Blackberry curve 1 bure!! mwambie na mwenzio sh 60000/= tu

    Elfu 50,000 ni Pm tufanye biashara
  5. P

    Kwa yeyote anayehitaji kuandikiwa Proposal

    Kaka kwanini usitumie skills zako kuandika proposals kwenye miradi mikubwa kama WHO, IMF n.k ili ulisaidie taifa na wewe mwenyewe at the macro level kuliko kuwaandikia watu utafiti ambao baadae watahitimu bila kuwa na skills zao wenyewe za katika kuandika tafiti? Jitahidi uwasaidie watu kupata...
  6. P

    Habari za kifo cha Dr. Kawambwa sio za kweli, ni uzushi mtupu!

    kweli kwa mtaji huu tutaendelea badala ya kufanya kazi mnakaa kuzushia watu vifo? Tabia hii sio nzuri hata kidogo. Tujifunze kitu kimoja tusipende kufanya ambayo sisi wenyewe tusingependa kufanyiwa
  7. P

    Kwa gpa hi naweza kupata full scholarship?

    ingia kwenye hii website Scholarships & Financial Aid 2014 2015 for Undergraduate, Masters, PhD Postdoctoral Students : Scholarship Positions 2014 2015 scholarship za kumwaga
  8. P

    Kwa gpa hi naweza kupata full scholarship?

    unaweza kupata ni juhudi zako tu za kutafuta
Back
Top Bottom