RAIS AJAYE ANAPASWA KUYAJUA HAYA
Changamoto ya kwanza ni ajira
Nchi hii unaweza ukaiba kadri uwezavyo na hatua zisichukuliwe
Kuanzia rais,mwenyekiti wa kijiji hadi baba wote ni waheshimiwa huu uheshimiwa unadidimiza uwajibikaji
ni wazi wapo vijana na wazee wenye uwezo wa kuyafanyia kazi haya...
Historia inatuambia kwamba kablaya uhuru taifa letu lilikuwa kwenye mfumo wa vyama vingi vya siasa, kimsingi Tanganyika ilipata uhuruikiwa katika mfumo wa vyama vingi vyasiasa. Mwaka 1963 mkutano wa halimashauri kuu ya taifa ya TANU uliofanyikamwezi Januari uliazimia kuiweka Tanzania katika...
Kazi ya kuvua magwanda na kuvaa uzalendo inaendelezwa kwa kasi na makada wa ccm waakiongozw na Lyotela na Clovera. wamefanikiwa kuivunja chadema kwa kuzoa viongoz waake akiwamo aaliyekuwaa mwenyekiti wa tawi ndg. Newton Chamkongo. vivaa comrades
Kwa wanasayansi ya utawala wataungana na mimi kuwa taasis makin utaipima kwa VISION, MISSION and ORGANISATION GOAL yake. CDM Kwa ss n taasis ya kisiasa ambayo imekosa sifa tajwa hapo juu. Ni chama ambacho hakina mtu wa mwisho katka maamuz. Kila kiongozi ana maamuz yake mfano.rejea tofaut ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.