Maisha yalivyo magumu, utafutaji wake na kupata maendeleo, sidhani kama wengine tuna muda na huyo mtu!
Atajijuwa na familia yake na kama katenda kosa au anatenda lazima angeshachukuliwa hatua!
Tuendelee kutafuta hela kihalali, achana naye.
Safiiiii...
Ubabaishaji siyo kama sisi..
Wako serious, more professional na makini...
Hata tubishe, uchumi wao mkubwa, even though we are catching up...
Ki Technology wako mbali, na ujinga ujinga wa kufungia mitandao hakuna, wakijuwa watapoteza hela nyingi sana...
Aina ya siasa yao, capitalism...
Natafuta rafiki wa kike, kabila yoyote, kuanzia miaka 40-50. Dini yoyote, mfanyabiashara au mwajiriwa. Naishi Dar.
Nina miaka 50, mwanaume, urefu wa kati, maji ya kunde. Msukuma na Mjita. Mzaliwa wa Dar.
Mfanyabiashara.
Karibu atakayependezewa.
Tafadhali naomba dharau, dhihaka na utani vikae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.