Recent content by Papi Mucho

  1. P

    Eti kama haukuwa kati ya shule hizi, we ni kilaza ?

    shule yangu hiyooo ... Moshi Technical 1971 to 1974 - Great adventures Great Days
  2. P

    Waganga bwana!

    Niletee njiwa aliyefiwa na shangazi yake
  3. P

    Miundombinu ya Dar ikiwa hivi, foleni kwisha habari yake!!

    Tazama flyovers za Muscat Oman
  4. P

    Karibuni 'Cha Mzaramo....!!!

    Wali huo wa "MWENDO KASI"
  5. P

    Mapochopocho

    Huyo hapakui - anapakuliwa
  6. P

    Chakula cha mchana shuleni katika kila nchi

    Ya Tanzania ndio yenyewe mate yananitoka - home sweet home
  7. P

    Kizazi toleo jipya

    Pozi babu kubwa - midomo na macho yes yes
  8. P

    Karibu ujionee Ubunifu wewe.

    Ubunifu huo ndugu - safi sana
  9. P

    Hii ni mchina au?

    Si Mchina si nani!! Ni jinsi unavyoenekana ukiangalia reflex mirror!! Ba ndgu ni MIRROR!!!!!
  10. P

    Daraja la kigamboni

    Tasfiri from Google
  11. P

    Wapi hapa?

    Picha zaidi: Image Search Results for kigali airport
  12. P

    Mtego

    Hakuna chochote kitakachotokea - ufunguapo kitasa mkono huelekea chini - vipi bom litafyuka???????????????
  13. P

    Waaaaw!

    Hebu subiringi kwanza, mwanzilishi wa habari hii Nidugu Ezan kaomba atafsiriwe barua alioipata maana Kiingereza kimemwendea tenge - sasa naona hadithi ndefuuu na inaelekea hajafamu kitu Ezan - Tafsiri ya barua hiyo ni hapa chini (hisani ya Google.com - Tafsiri Kabambe!!!!!): Attn: Mheshimiwa...
Back
Top Bottom