Recent content by PAPEPI

  1. P

    Ushauri: Kutokwa na usaa kwenye uume

    Hospitali nimeenda nimepima Nikakuta ni Gono Niko kwenye dozi ya sindano
  2. P

    Ushauri: Kutokwa na usaa kwenye uume

    Kweli ndugu inatibu?
  3. P

    USHAURI

    Mimi ni kijana wa miaka 23 huwa naskia maumivu wakati wa kukojoa Na pia huwa natokwa Na Usaa sehemu za siri naombeni ushauri unitumie dawa gani ili nipone
  4. P

    Ushauri: Kutokwa na usaa kwenye uume

    Huwa ninatokwa na usaa kwenye uume na kusikia maumivu wakati wa kukojoa. Naombeni ushauri unitumie dawa gani ili nipone?
  5. P

    Scientifically proved

    Wanasayansi wameprove kwamba kama mtu hajaathirika na kilevi chochote kama pombe,sigara,madawa ya kulevya basi kuna uwezekano mkubwa akawa ameathirika na kuangalia picha za ngono mtandaoni
Back
Top Bottom