Habari zenu,
Mimi nina kero yangu ambayo sijui wenzangu munaionaje. Hawa wamarekani sikuhizi wamezidi walianza kwenye malaria, wakaja kwenye hiv and then uzazi wampango(family planning) utasikia tu "kwahisani ya marekani" sasa wamehamia kwenye ndoa zetu, eti wanasema tuvunje ukimya na mayenje...
yaani ukitaka kuniboa nikumbushe huyo mayenje wa kwenye tangazo la tv, yaani sikuhizi wamarekani wameingia mpaka kwenye ndoa zetu .mpaka ndoa nazo kwa hisani ya marekani. Mimi lile tangazo silipi shavu hata kidogo!
Huu msamiati muheshimiwa unakaribia kutolewa kwenye kamusi ya kiswahili kwani matumizi yake ni karibu na zero, kwani hawapo, sikuhizi kitoto kidogo tu hubembelezi. Sasa twende huko mzigoni he! mpaka jasho litakudondoka!!!:pound:
Hahaaa! sikia kin'gasti mimi sisemi kuwa ni mazoea au ni wabishi ila style zingine wanawake wenye umri mkubwa hawaziwezi ndiomana hawataki hata ukiwa ambia, wanaweza kutapika ugali unafanya mchezo nini!
:lying:Kaka mi nakanusha kwan kwenye mchezo wengine wanakua wazembe kinoma, anataka afanye anavyojua yeye ukimweka unavyotakawewe yeye hataki huo ni usumbufu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.