hongera umefanya kazi nzuri ila ni vema ukiona ngumu kulikamilisha kumsaidia mtoto, tumua asasi za kiraia zinazohusika na masuala ya kijamii,mtoto atasaidiwa na ukweli utajulikana.
Hakika inasikitisha na kuumiza sana, mhimu ni wahusika kukamatwa na kufikishwa mbele ya Sheria na pengine kunyongwa ikibainika na kuthibitika KWa waliofanya mauaji ya raia na mtanzania mwenzetu.siasa za majitaka kamwe zisipewe nafasi katika nchi yetu.
Hii hali imekuwa mbaya sana, nadhani sasa ifike mahala mtu akitekwa hadharani kama mzee huyu, wananchi waingilie kati na ikiwezekana mbwai na iwe mbwai maana hali ni mbaya vinginevyo raia tutaumizwa sana hasa watu wanaotoa mawazo mbadala KWa serikali na kuitwa wakosoaji.
Nawapa pole sana...
Nachoweza kusema ni kuwa, watawala wabinafsi na wala rushwa wako tayari kuuza rasilimali za Taifa KWa ajili ya faida zao,familia zao na marafiki wao huku raia wakitaabika zaidi. Hii ni aibu sana hasa KWa watawala wa kiafrika. Sehemu kubwa ya bara la Africa tuna watawala na si viongozi. Allah...
Wakati huo pia utambue siku wenye nguvu wakija ni kuswaga mifugo Yako yote wanatia kwenye gari, kulingana na asili ya huko maana wizi wa mifugo ni nje nje tu.
Dah! Upinzani wa Tanzania bado una safari kadhaa mbele licha ya kuwa na uungwaji mkono mkubwa toka KWa wananchi walio wengi. Namtakia kijana mwenzangu Mnyika maisha mapya nje ya nafasi hiyo.
Shukurani ndugu,ndio umhimu na faida Bora ya kutumia majukwaa ya kimitandao badala ya umbea kuzidi,ubarikiwe sana mkuu na Kila lakheri Ktk shughuli zako.
Wewe utakuwa miongoni mwa wachache waliopelekwa Dubai nadhani hivyo,si bure.waliondoka wenyewe wakati waliobaki wanaandamana, katiba inatakiwa kufumiliwa upya kabisa au kupata mpya ya wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.