umenkumbusha kuna demu mwembamba nlikua naye sasa kila nikitaka style ya chima mboga analalamika balaa anasema eti mashne yangu ndefu kwa hyo anaumia tumbo nlikua nakasirika had mzuka unapotea yaan yy anataka kulala tu kama gogo[emoji51][emoji51] mtchewwwww
halafu kama hujui mkuu, office ya raisi haina saut yyte pale udom na hiz barua wengi wameandka ila hakuna ktu kwa sabab barua znaenda kwa uongoz wa wanafunz ila matokeo yako na uongozi wa chuo yaan VICE COUNCELLOR
umeelewa nilichokiandika?? au umejibu kutokana na mihemko yako kwa sabab ww ni staff wa udom???
nmekwambia chuo hakikumuombea ada bodi ,afu ww unakuja kusema et hakusain ada sasa atasain nn na jna halijaja?
pili unasema bodi haikatai kulipa unaujua utaratbu wa malipo kutoka bodi???? hebu acha...
Habari
kama heading ilivo hapo kumekuwa na sintofahamu kadhaa kwa wanafunzi wa udom kuhusu
michango kupanda kila siku,
Hostels za chuo kuwa na vyoo vibovu,
maji kukatika kwa mda mrefu,
Gharama za direct cost kupanda bila sababu maalumu, na mengine mengi
lakn hii sasa ndo kubwa kuliko yaan...
Mkuu watu sio kwamba wanapenda kudabo account bali ni app yenyewe ya jamiiforum ilivo yaan hairuhusu mtu kubadili jina yaan hakuna option ya kuchange name ndo mana watu wakitaka kutumia jna tofauti na lililozoeleka humu bas wanafngua account mpya ko unakuta mtu ana account zaid ya mbili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.