Recent content by papaa kishimba

  1. papaa kishimba

    Mbowe na Maalim Seif wafanya kituko kingine cha kisiasa hadharani!

    kwani huyu jamaa vipi?mbowe kamnyima uongozi nn?ndio maana kapaniki ndugu huu mchezo hauitaji hasira
  2. papaa kishimba

    Mimi ni Mwalimu nimemaliza bachelor UDSM BAED, Natafuta Kazi

    kaka humu ndani jf hakuna wa kukuajiri ukitaka hiyo ajira nenda shuleni ukaongee na wakuu wa shule humu ataambulia lugha za kejeli tu ndugu yangu
  3. papaa kishimba

    Natafuta kazi temporary

    kk hakuna mtu wa kukuajiri humu ajira unayoitaka ipo shule ndugu yangu nenda mashuleni ukaongee na wakuu washule utakacho pata humu ni lugha za kejeli tu ndugu yangu
  4. papaa kishimba

    Waajiliwa wapya serikalini, pita hapa panakuhusu

    hahahahahahaa mwanchekesha miie yani mpaka leo eti mwasubiri ajira?mbona mnakuwamasikin wa fikra hivyo sina maana yakwamba nawatukana hapana nyinyi ni wasomi kwa nn mkae mnasubiri kuajiriwa na mlalamike kwa serekali?moja ya wajibu wa serekali ni kuwasomesha raia wake bila shaka mmesomeshwa sasa...
  5. papaa kishimba

    Nafasi za kazi Air Tanzania

    msichoke bwana walimu ni wito sawa
  6. papaa kishimba

    Nafasi za kazi Air Tanzania

    hahahahahahahahaha kumbe na walimu wamechoka?
  7. papaa kishimba

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    haya sasaaaaa kazi kwenuu wazalendo
  8. papaa kishimba

    Mnaosubiri Kuingia JKT

    tupe source kk acha siasa
  9. papaa kishimba

    Serikali yaanza mchakato wa kuajiri na kupandisha vyeo watumishi wake

    siasa tu kwani mh.jafo alisema nn kuhusiana na walimu wapya?
  10. papaa kishimba

    Kitaa kimeninyoosha sana wadau

    kaka simchezo kitaa kimetunyoosha nidhamu kibaooo
  11. papaa kishimba

    Rais Magufuli leo Mwanza kuhusu ajira amesema uhakiki bado unaendelea, usitegemee ajira serikalini

    tuliwaambia hawafai hao kidole gumba sasa asiyesikia lamkuu huvunjika guu tutulie tuu
  12. papaa kishimba

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    kwani 15 sikeshokutwa tu tusubiri
  13. papaa kishimba

    Mnaosubiri Kuingia JKT

    hayaaaa moto wa punyeto
  14. papaa kishimba

    Natafuta kiki

    anatafuta kiki?eeeeeh makamanda ale kazi huyo
Back
Top Bottom