ukitaka mfanye uchaguzi mwingine ndani ya miezi sita mwambieni atoe hiyo presindential decree na aiweke katiba ya nchi pembeni...hana ubavu huo...walahi nakwambia hawezi..
yalwatu wanatiwa uoga...nchi haindeshwi kwa uoga...wafanyakazi wanatakiwa kufanya kazi bila woga...leo mtu anaambia mwezi ujao jipu linatumbuliwa kwenye ofisi yako..unadhani hapa katikati anafanya nini huyo mtu..sasa hivi tumeanza kusingiziana na kupeana vitisho...jana wamekamata makontena 9...
nilishahi kumfanyai mtu jambo baya kwa tabia kama zako....niliwahi kurudi kwa kustukiza na mara baada ya kugonga mlango kumbe mle ndani kuna mgoni jamaa anabanjuka na mke wangu...baada ya kugonga nikasubiri mda kama dakika 10 nikahisi jambo ndipo wife akaja akafungua mlango...nikaingia ndani...
tena mwambieni ateuwe mawaziri baada ya miezi sita...maana na wengi wamekaa kiupigaji pigaji..acha kwanza aendeshe nchi...huko nyuma nchi ilikuwa inaendeshwa na HSC..
tatizo kama lako liliwahi kunipata miaka kama sita iliyopita...ilikuwa kama anavyofanya wife wako tena mimi nilienda mbali zaidi kwa kumwambia yule jamaa aache mawasiliano na mke wangu..nikazui lakini mke akagoma...baadae nikawashika ugoni wakivunja amri ya sita nyumbani kwangu ....nikaachana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.