eastern eagle tambua kuna kuwa ns elimu ya darasa ns kuwa na elimu yenye hekima...ivi ina haja gani kuwa na elimu kams ya stela manyanya au shekifu alafu unashindwa kufafanua sheria ?kama sio wanabweka ili wapewe nafasi ya u-RC ..haya raisi kashamaliza nafasi...
kumbe ndo maana kinana anamsakama Nyalandu kwasababu kamkataza kutembeza wanyama kwenye mikutano ..hongera nyalandu uwenda usingemzuia angeleta tembo kwenye mikutano na ndo maana anakuita mzururaji .....
CHAPTER 258 THE POLITICAL PARTIES ACT
11. (1) Every party which has been provisionally or fully registered shall be entitled
b) to the protection and assistance of the security agencies for the purposes of facilitating peaceful and orderly meetings:
hii haimaanishi kuwa unaomba kibali...
kama polisi wanataka taarifa ya mikutano na maandamano ndani ya masaa 48 kwann wao pia wasitoe azimio lakutokubali maandamano ndani hata ya masaa 24 ivi sheria za nchi hii ni msumeno au kisu cha mkate kinakata upande mmoja tu?
ndugu zanguni makampuni ya simu yamezidisha hizi kero....kwa mfano Vodacom ...unanunua muda wa hewani kupitia M-pesa wanakata sawa lakini kuna muda hawakupi kwa muda ule unaohitaji ukipiga huduma kwa wateja wanakuambia kuna tatizo lakiufundi kwann wakati unanunua...
jamani maandalizi yanahitaji muda huwezi sema hawakujua bunge linaanza leo....au tuseme ni upande wa upinzani ndo una kasoro....au TBC hamwezi kurusha live mnataka kurekodi kisha mka edit ndo mturushie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.