Recent content by Papa Mopao

  1. Papa Mopao

    JamiiForums Tanzania Naona timu ya taifa ya ISRAEL na vilabu vyake vikishiliki michuano ya UEFA na UERO apo imekaaje?

    Hii nchi hii (Azerbaijan) wananchi wake wametulia sana
  2. Papa Mopao

    JamiiForums Tanzania Magari kadhaa yapata ajali daraja la Tanzanite - Dar es Salaam

    Uzembe wa haraka haraka zisizo na msingi na kuovertake ovyo ovyo lazima ziwachanganye wengine bila umakini na uangalifu
  3. Papa Mopao

    JamiiForums Tanzania China yavunja rekodi tena yazindua treni ya umeme yenye kasi kubwa zaidi Duniani

    Asante sana, tujifunze wenzetu wamewezaje kufika hapo, hiyo ni Elimu tu waliyoiweka na imewajega sana mpaka hapo
  4. Papa Mopao

    JamiiForums Tanzania China yavunja rekodi tena yazindua treni ya umeme yenye kasi kubwa zaidi Duniani

    Elimu yao iko juu sana, wamewapika wataalamu kiasi kwamba wamepikika vilivyo na matokeo tunayaona pamoja na bidii zao
  5. Papa Mopao

    JamiiForums Tanzania Viumbe vyote chanzo chake ni nishati

    Roho ni nishati pia, unajua hilo?
  6. Papa Mopao

    JamiiForums Tanzania Viumbe vyote chanzo chake ni nishati

    Eleza kile unachokifahamu ndugu yangu!
  7. Papa Mopao

    JamiiForums Tanzania Kijana wa miaka 15 kagoma kujiunga na form one kisa kijiweni kwao kuna wa degree zaidi ya watano wanaendesha boda-boda mgine anauza matunda

    Tunafanyaje sasa wakati tayari unaona kabisa elimu kama vile inatupeleka mahala ambapo tunapata mashaka kuhusu jinsi jamii inavyoendeshwa? Nchi zingine mambo yanaendeshwa kwa kutumia taaluma haswa hadi unaona raha
  8. Papa Mopao

    JamiiForums Tanzania Full Time: CS Constantine 2-1 Simba Sc | CAF confederation cup| December 8, 2024

    Kikosi kilivyopangwa duh
Back
Top Bottom